Sawa nimeelewa kua mambo ni mawili ya lazima 1.taratibu zairathi
2.wilayani kitengo Cha ardhi
Naomba kuuliza swali la mwisho,
Je,unaposema taratibu za mirathi ni kama zipi na wahusika/zinawahusisha nani na
nani ni lazima wahusike kuzikamilisha
Kwa maana ya kwamba kabla ya kifo Cha...
Unaweza kunipa namba yako?
Swala ni kwamba Sina detail yoyote wazazi wamefariki ghafla hatukuzungumza chochote sababu haikutarajiwa.....nachofaham ni namba ya nyumba tu nisaidie tafadhal nijue pa kuanzia
Naomba kukuuliza iwapo wazazi wamefariki bila kuelekezwa hati miliki kwahiyo haijulikani ilipo
Je inawezekana nyumba kukatiwa hati upya inachukua muda gani na inagharimu kiasi na utaratb ukoje
Samahani naomba kuuliza kiwango Cha mwisho Cha mkopo wa bank ni kiasi gani ..
Pia ni vigezo gan hivyo muhimu walivyokutajia.
Na je kama una nyumba Ila hivyo vigezo vyengine huna inatosha kukopea??
Naomba kuuliza;
Iwapo wazazi wamefariki bila kuacha taarifa za hati miliki kwahiyo haijulikani ilipo,
Je,mrithi anatakiwa kufata taratibu gani ili aweze kupata hati miliki upya inachukua muda gani na inagharimu kiasi gani
Naomba kuwasilisha
Ñaomba niulizie hapa na kila mwenye uelewa wa hili naomba anieleweshe.
Iwapo imebaki nyumba ya urithi na hati haijulikani ilipo Kwa maana wazazi waliaga dunia pasi na kutoa taarifa za hati miliki.
Je,mrithi anatakiwa kufata taratibu gani ili aweze kupata hati miliki upya,inachukua muda gani na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.