Utaratibu na gharama za kupata hatimiliki ya nyumba/kiwanja

Namshukuru Jamaa kwa kuwa amejitolea kwa kuandika uzi mzuri tena kwa moyo wake wote. lakini ktk wasomaji 47000 jamaa amepata like 3. pamoja na ya kwangu kweli nimejifunza kitu watantania wengi swala kushukuru limewapita kushoto.
 
Wakuu natanguliza shukrani zangu kwenu,
Nilinunua kijishamba huku Kisewe 2004 kwa mtu nae alinunu kwa mwenyeji, sasa hati ya mauziano ina jina lake huyo nilie nunua kwake na sasa hayupo hapa dar, nahitaji kupimiwa eneo langu na hatiamye nipate hati tittle deed,nifanyejee ngd zangu.
cc@ Kiyanga and others
 
Back
Top Bottom