Polee saana ila ishatokea si sawa mtot wa kike kuingia chumbani na mwanaume n hatar sana coz wanabadilikaga saana hawaa,,,,all in all yashatokea kama kweli unajiona ulikosea jitahidi isitokee tena,,,,,
Mimi ni msichana na Miaka 25,Nilikua na mpenzi wangu ambae nampenda saana tumesaidiana mambo mengi sanaa,kwa sasa tuna Miaka saba kwenye mahusiano kwetu mi tuna hali ngumu kidogo alinisomesha Chuo hadi nikamaliza.
Nilipoumwa aliniuguza japo kua ana mapungufu yake ni mtu wa michepuko ila hua...
Habari zenu wana JF, mimi ni msichana mtafutaji, nauza vitu vya Silva kama cheni, hereni, pete, vito na kadhalika. Niko Dar es Salam, ukihitaji naweza kukuletea ulipo kwa walio Dar.
Unaweza kunicheki kwa 0769 456 582, Karibuni sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.