Recent content by S-series

  1. S-series

    JamiiForums Tanzania PDF la oil chafu hili hapa

    Bei yake kwa wanunuzi was kati ni sh ngapi kwa lita?
  2. S-series

    JamiiForums Tanzania Baada ya kufanyiwa CT-Scan ya tumbo, hali imebadilika na kuwa mbaya

    Mm nilitakaga kupoteza fahami nikiwa ndani ya MRI aisee nilikuwa nimevaa mkanda ss nafanyiwa MRI ya kichwa kumuuliza daktari vp nitoe mkanda akasema achana nao ile nimeingizwa machine kuwashwa naona suruali inavutwA mpaka inataka kufika shingoni na hapo niliambiwa nifumbe macho aisee nilifumbua...
  3. S-series

    JamiiForums Tanzania Baada ya kufanyiwa CT-Scan ya tumbo, hali imebadilika na kuwa mbaya

    Hicho kipimo mm mwenyewe niliandikiwaga Hindu mandal nilipopewa ABC na wasamaria wema niliteleza sikwwnda tena kufanyiwa hicho kipimo.
  4. S-series

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama unataka drama katika maisha yako date mwanaume ambae hanywi

    Umalaya tu unakusumbua unajipendea walevi ili ujiachie kukigawa kwa Gen Z
  5. S-series

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuuliwa watu shuleni, Saudi Arabia yavunja ukimya, yasema vita sasa visimame

    Tarehe 12 tutegemee jambo zito sana toka Uajemini.
  6. S-series

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu anamtesa sana mtoto wa marehemu dada yangu

    Duh hii ndo shida ya kumpenda zaidi mwanqmke kuliko anavyokupenda yeye mkuu.Kwa sie wengine hilo haliwezi kutokea sababu mwanamke ndiye anayehaha kukupalilia ili tu usimteme hivyo ukileta ndugu atampambania kumuonyesha upendo sababu ataamini huyo ndo mtetezi wake. BTW Mkuu japo hauna mke hapo...
  7. S-series

    JamiiForums Tanzania Israel inatakiwa kufutwa ili kuleta amani Mashariki ya Kati

    Time!Time!Time!Time! Will tell
  8. S-series

    JamiiForums Tanzania Israel inatakiwa kufutwa ili kuleta amani Mashariki ya Kati

    Marekani na west ndio wasababishi na hao ndio Israeli wenyewe
  9. S-series

    JamiiForums Tanzania Israel inatakiwa kufutwa ili kuleta amani Mashariki ya Kati

    Amani ya Mola I we juu ya wote wapendao haki. Nchi za Magharibi na Marekani zimekuwa na mipango ya muda mrefu ya kuangamiza uchumi wa mataifa ya Mashariki ya kati na ISRAELI ndio mfanikishaji wake hivyo nadhani juu ni wakati muafaka wa kuisambaratisha ISRAEL ili kuvunja ngome ya magharibi...
  10. S-series

    JamiiForums Tanzania Je, Houth ndiyo waliokata nyaya tatu za intaneti chini ya bahari ya Red Sea?

    Mvua zetu sio za uhakika mkuu.
  11. S-series

    JamiiForums Tanzania Wahindu wabomoa msikiti na kuua Waislam kadhaa

    Kumpiga kichwa haiondoi ukafiri wako endapo km bado unaendelea kupigia magoti yale masanamu yenu.
  12. S-series

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli Israel ilipiga na kuteka mataifa ya Kiarabu kwa siku sita? Sasa inashindwa nini kuwamaliza kikundi kidogo cha Hamas?

    Duh huu uharo wallah umepitiliza level za uharo,ww unataka mjadala wote uhamie huku,Yesu huyu huyu aliyewambwa msalabani na hao wayahudi ndiye unasema anategemewa kuwa msaada wao?? We jamaa ni graduate wa level ya juu ya upumbavu,Stupid kabisa
  13. S-series

    JamiiForums Tanzania Vita ya Israel na Hamas: tunahitaji mwaka mzima kuishinda Hamas.

    Next level ya nyoko.
  14. S-series

    JamiiForums Tanzania Miss JF 2023: Nani ni Mrembo zaidi kushinda wenzake hapa JF kati ya wanawake wafuatao?

    Kweli nimeamini humu watu hamjuani yaani haya majina yanawachanganya sana,kwenye hiyo list yako kuna watu ni vifutu tena na vitambi vya kutisha eti unawaweka kwenye list ya umiss dah. Amini nachokwambia kuna watu hapo hawawezi kutokea endapo wataitwa kwa namna yoyote ile.
  15. S-series

    JamiiForums Tanzania Hamas yasema haitawaachilia tena mateka hadi Israel ikomeshe vita

    Hawakuzidi ww lakini mkuu
Back
Top Bottom