Recent content by S.M.P2503

  1. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Malisa: Wakili Madeleka amekamatwa na watu waliojitambulisha ni polisi

    Wanamsumbua tu bila sababu za msingi… mahakama haijasema au kutoa amri kwamba akamatwe… huo ni uonevu na usumbufu tu… wanataka akamsalimie Lissu huko ukonga kwa lazima…
  2. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Madhila yote ya Utekaji Samia hajawahi kukemea

    Nabii Tito kamtaja tayari huko mjini YouTube kwenye clip yake kwamba Samia ndio wasiojulikana…
  3. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Utata wa "identity" wa shahidi wa Jamhuri waibuka mahakamani. Inasemekana huyu Jina lake halisi ni Peter Jumamosi na sio Amin Mahamba...

    Itakuja kuwa yale yale ya kesi ya Kihiyo na tutajie jina la mwalimu mkuu wako wakati unasoma secondary...
  4. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Warioba Joseph Butiku amelazwa ICU. Ni rafiki wa Polepole

    Sawa ndugu yangu, sikujua kama Butiku naye ni Warioba...heading inasomeka ... Warioba Joseph Butiku amelazwa ICU.
  5. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Warioba Joseph Butiku amelazwa ICU. Ni rafiki wa Polepole

    Ni Butiku au Warioba? Nyoosha maelezo, kichwa cha habari na contents ni mbingu na ardhi.. kinazua taharuki...
  6. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Mwanahalisi: Nchimbi agoma kujiuzulu

    Makonda ni kivuruge sana humo ccm. Yeye kutwa ni kuwachongea wenzake tu… hiyo nafasi anaitaka ila hataimudu…tamaa ya madaraka ni mbaya sana….
  7. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Kuna muda unatamani wakoloni weupe wangeendelea kubaki, hebu angalia mpango huu mkubwa wa reli wa kuiunganisha Tanganyika uliovurugwa na vita ya dunia

    Na hao ccm bado wanahangaika kukamilisha mipango ya wajerumani… sijui watafanikiwa lini?
  8. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Harusi meza kuu bibi harusi hakuna baba wala baba wadogo. Mabinti hamuoni aibu

    Kuchakata kinyama ugomvi Mara nyingi hufanyika milango ikiwa imefungwa, huyo baba mzazi huwa yuko wapi kushuhudia mwanawe akipelekewa moto? Sana sana atasikia tu sauti watu wakinena kwa lugha isiyo julikana kama yupo karibu nao…
  9. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita, Meli ya Uvuvi aliyoizindua Samia, Imeshindwa kuvua samaki hata mmoja

    Mbarikiwa Mwakipesile ana ujumbe wake hapa: https://youtube.com/shorts/8O4ja0R1fJk?si=jEf9yBpukRZj0jbW
  10. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Mawakili zaidi ya 390 wa Tanzania Bara Hatarini Kupoteza Uwakili wao

    Hii kesi itapigwa chini huko mahakama kuu. Kwa ufupi… swali itakalo jiuliza mahakama ni je, “uzoefu wa kazi Kwa vitendo” ni unapatikana law school pekee? Na je, Kwa wale walioupata huo uzoefu kwa mfano training contract katika makampuni ya kisheria nao pia walazimishwe kwenda law school ...
  11. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Remedy DPP anayoweza kuifanya ni kuiondoa Kesi dhidi ya Lissu Kisha kumkamata tena na ku fix ushahidi wake ambao umetupwa na mahakama zote mbili

    Wajaribu nao wakakumbane na mnyampara wa sheria Lissu? Sidhani… Wamwachie tu aende zake naye akafanye mishe zake Kama wao…
  12. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Maamuzi ya ndani

    Kumbe ndio maana Nchimbi ameanza kuimba mambo anayo pigania Lissu ili akitoka waje waseme kwamba mambo anayopigania Lissu ni hoja zao. Sasa nimeanza kumwelewa Mh. Nchimbi aliposema “ pambanieni katiba”. Ile ilitoka kimkakati ili wampiku Lissu huko mbeleni… taabu tupu…
  13. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Mnaokula wake zetu na kutuona sisi wazembe, mna hakika nyie mtaweza?

    kyagata na Isenye munaitwa huku mujibu hilo swali…
  14. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Mateso Makuu ya Kimyakimya Hayajifichi, Lakini Mtesaji ni Kama Hayamhusu

    Wamwachie tu, wampe fidia, wafanye reforms, watupe katiba na tume Huru. Tofauti ya hapo, wanaomshikilia, wataendelea kuteseka sana na kujutia maamuzi yao hadi watubu kwenye vitabu watavyo viandika wakitoka madarakani Kwa kuomba msamaha uchwara…
  15. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Bondia Katompa (wa DRC) achomwa moto hadi kufariki huko Afrika Kusini

    Na Siku wanaitangaza sana Zanzibar huko ulimwenguni (Kama nchi) na bendera yake kwa hao wazungu. Ajabu Tanzagiza bado ipo fofofo mzungu wa reli. Sijui utaratibu ukoje wa kumuadhibu mshirika mmoja wa muungano akifanya matendo ya kuhatarisha kuuvunja muungano?
Back
Top Bottom