"kifo ni kifo tu".. hii kauli ina- , apply kwa ccm , viongozi wake, wanachama wao na kauli hiyo ni kwa wapenzi wazo, ila kwa walio wengi, bado hatujakubariana na kauli hiyo...
Nilisha Sema humu ndani kitambo sana. Chadema inapaswa kuwa na mawakili katika Kila kijijini cha nchi hii ambao watasimamia haki za wanachama wao. Vijijini havizidi 144k navIkitokea wanachama wanaonewa, nchi nchi nzima inakuwa ni mtanange wa kisheria. Ni ghali , lakini hiyo ndiyo njia nyepesi ya...
kyagata ukweli ni kwamba umekwisha mchakata... sasa huo ushauri ni wa nini unaotuomba humu ndani? We endelea tu kumchakata hadi mtu wake toka Marekani arudi... au kama unataka kumuweka ndani, muweke kabisa ili ampotezee huyo njemba wake wa huko USA.
Mara nyingi ( Pigia mstari mara nyingi), huwa ni akina mama kuwarisha watoto wao matango pori na kusababisha hiyo chuki... watoto wanapofika umri wa miaka 18 na kuendelea na au kukumbana na changamoto za ndoa na mahusiano ya kimapenzi, ndio huyajua hayo matango pori waliyolishwa na mama zao...
Hao majaji nao ni wapumbavu tu, wanaruhusuje hiyo rufaa ikakatwe wakati wanajua fika kwamba majibu ya rufaa hiyo hayamalizi kesi ya msingi? Na hata huyo msajili wa mahakama ya rufaa naye ni kihiyo mwingine. Haya mambo yanayia sana hasira... ingefaa nao wakae gerezani kwa kumtesa mwenzao siku...
Credit card maana Kwa mfano ukinunua vitu Mtandaoni au hata ticket ya ndege halafu mtoa huduma anakuletea magumashi, Mizengwe,ni rahisi Sana kuzidai fedha zako kuliko kama ungetumia debit card…
Cha msingi ni lipa kwa kutumia credit ( mkopo) na bill yake ikija ( ya hiyo credit card) ilipe yote -...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.