Hii Bank inayotoa Details za wateja wake bila ya amri ya mahakama inafaa kabisa kufunguliwa mashtaka na kufungwa... Pumbuvu zao ngurukenge waheed ... munawezaje kutoa details za Mtu bila ruhusa ya mahamaka... ?
Anauliza , ni nini kinamfanya mwanamke ku-squirt ( kurusha yale maji kutokea ukeni- sio mkojo). Je Ni hisia za mwanamke au ni ujuzi wa mwanamume? Mimi ndivyo nilivyo muelewa…
IKIWA CDF, IGP NA CDI WATASEMA WALIFUATA AMRI: SWALI NI JE: AMRI HIYO ILITOLEWA NA NANI?
Hapa ndipo tunapaswa kutumia critical thinking, si hisia.
Kama CDF, IGP na CDI watatoa ushahidi kwamba walichofanya kilitokana na amri au maelekezo ya mamlaka ya juu, basi chanzo, maudhui na mlolongo wa...
Mtoa mada umeuliza swali fikirishi sana... hata mimi najua na nilifikiri kwamba hana nia hiyo ya kutaka mwanasiasa mwenzake anyongwe, ila ka kaa kimya ili mambo haya ya Edda - siku 40 yapite.. Lissu mwenyewe juzi akiwa huko mahakamani kasema wamfikishie pole za kufiwa huko alipo... najua hii...
Hawa watu hapa chini wanataka kutupiwa Zigo la october 29 ili Samia achomoke, ndiko tunako elekea maana wanajua kwamba Lissu atawakaanga vilivyo..,
1. Mkuu wa Jeshi la Polisi
2. Mkurugenzi wa Mashitaka
3. Mkuu wa Majeshi
Akimaliza tu huu msiba wa mumewe na hiyo habari ya kukaa eda/ hitma Siku 40 atajirudi. Ataelewa alipo jikwaa… hizi chuki kaziasisi yeye Kwa kauli zake ( kifo ni kifo ) na hajawapa pole wafiwa wa 29/10, Ali kibao na wengine.
Kwa nini watu wasimtende kama anavyo watenda wengine?
Ajirudi tu ndipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.