Wanamsumbua tu bila sababu za msingi… mahakama haijasema au kutoa amri kwamba akamatwe… huo ni uonevu na usumbufu tu… wanataka akamsalimie Lissu huko ukonga kwa lazima…
Kuchakata kinyama ugomvi Mara nyingi hufanyika milango ikiwa imefungwa, huyo baba mzazi huwa yuko wapi kushuhudia mwanawe akipelekewa moto? Sana sana atasikia tu sauti watu wakinena kwa lugha isiyo julikana kama yupo karibu nao…
Hii kesi itapigwa chini huko mahakama kuu. Kwa ufupi… swali itakalo jiuliza mahakama ni je, “uzoefu wa kazi Kwa vitendo” ni unapatikana law school pekee? Na je, Kwa wale walioupata huo uzoefu kwa mfano training contract katika makampuni ya kisheria nao pia walazimishwe kwenda law school ...
Kumbe ndio maana Nchimbi ameanza kuimba mambo anayo pigania Lissu ili akitoka waje waseme kwamba mambo anayopigania Lissu ni hoja zao. Sasa nimeanza kumwelewa Mh. Nchimbi aliposema “ pambanieni katiba”. Ile ilitoka kimkakati ili wampiku Lissu huko mbeleni… taabu tupu…
Wamwachie tu, wampe fidia, wafanye reforms, watupe katiba na tume Huru. Tofauti ya hapo, wanaomshikilia, wataendelea kuteseka sana na kujutia maamuzi yao hadi watubu kwenye vitabu watavyo viandika wakitoka madarakani Kwa kuomba msamaha uchwara…
Na Siku wanaitangaza sana Zanzibar huko ulimwenguni (Kama nchi) na bendera yake kwa hao wazungu. Ajabu Tanzagiza bado ipo fofofo mzungu wa reli. Sijui utaratibu ukoje wa kumuadhibu mshirika mmoja wa muungano akifanya matendo ya kuhatarisha kuuvunja muungano?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.