Recent content by S.M.P2503

  1. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Leo tarehe 14 September, Shahidi John Heche ameshafika tayari mahakamani

    Hii Bank inayotoa Details za wateja wake bila ya amri ya mahakama inafaa kabisa kufunguliwa mashtaka na kufungwa... Pumbuvu zao ngurukenge waheed ... munawezaje kutoa details za Mtu bila ruhusa ya mahamaka... ?
  2. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Watu kufurahia kifo cha Mume wa rais wao kinaleta taswira gani kwenye taifa?

    Wicknell Chivayo kaisha weka kambi huko kizimkazi…
  3. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Baada ya CDF IGP DCI Kuwasilisha ushahidi wao mahakamani Tundu Lisu akate rufaa ya kuomba PM VP na Mh Rais Kuja mahakamani kosa la uhaini ni zito

    Ajabu ni kwamba mahakama ilisema ushahidi wao ni irrelevant. Swali, mahakama ilijuaje hilo Jibu la irrelevant kabla hawaja- dodoswa ?
  4. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Hivi huwa ni ustadi gani unatumika hadi kupelekea mwanamke kutoa hydro kwa kasi sana na pressure kubwa?

    Anauliza , ni nini kinamfanya mwanamke ku-squirt ( kurusha yale maji kutokea ukeni- sio mkojo). Je Ni hisia za mwanamke au ni ujuzi wa mwanamume? Mimi ndivyo nilivyo muelewa…
  5. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Wicknell Chivayo amtembelea Rais Samia Ikulu na kumfariji baada ya kufiwa na Mume wake

    Hivi mtu akiwa Edda huwa ana hamu ya kupata/kufanya mapenzi? Hilo ndilo swali wanazuoni wa kiislam inapaswa kutujibia bila kujali jinsia ya me/ke..
  6. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Ikiwa CDF, IGP NA CDI watasema walifuata amri: Swali ni amri ilitolewa na nani?

    Mod, tafadhari rekebisheni heading isomeke: IKIWA CDF, IGP NA CDI WATASEMA WALIFUATA AMRI: SWALI NI JE: AMRI HIYO ILITOLEWA NA NANI?
  7. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Ikiwa CDF, IGP NA CDI watasema walifuata amri: Swali ni amri ilitolewa na nani?

    IKIWA CDF, IGP NA CDI WATASEMA WALIFUATA AMRI: SWALI NI JE: AMRI HIYO ILITOLEWA NA NANI? Hapa ndipo tunapaswa kutumia critical thinking, si hisia. Kama CDF, IGP na CDI watatoa ushahidi kwamba walichofanya kilitokana na amri au maelekezo ya mamlaka ya juu, basi chanzo, maudhui na mlolongo wa...
  8. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Wicknell Chivayo amtembelea Rais Samia Ikulu na kumfariji baada ya kufiwa na Mume wake

    Huyu Bwana anamnyelea sana Mjane... sijui kama mjane anajua kwamba kwa sasa yupo hot cake kwa njemba kama hizi za wicknell?
  9. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Yaani Samia aliyeenda kumwona Lissu hosptali, hamtaki aende mahakamani kumtetea Lissu hasinyongwe kweli?

    Mtoa mada umeuliza swali fikirishi sana... hata mimi najua na nilifikiri kwamba hana nia hiyo ya kutaka mwanasiasa mwenzake anyongwe, ila ka kaa kimya ili mambo haya ya Edda - siku 40 yapite.. Lissu mwenyewe juzi akiwa huko mahakamani kasema wamfikishie pole za kufiwa huko alipo... najua hii...
  10. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Hawa watu hapa chini wanataka kutupiwa Zigo la october 29 ili Samia achomoke, ndiko tunako elekea maana wanajua kwamba Lissu atawakaanga vilivyo.., 1. Mkuu wa Jeshi la Polisi 2. Mkurugenzi wa Mashitaka 3. Mkuu wa Majeshi
  11. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Atasema yuko Eda siku 40 hadi ziishe...
  12. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wengi walioenda ulaya,usa au watu toka usa,ulaya kuja tanzania hulazimika kupitia kenya?

    Hicho kibali cha Air Tanzania kuruka moja kwa moja kwenda huko Ulaya na kuwachukua directly hao disapora walikipata lini? Tuanzie hapo...
  13. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Watanzania chuki zimezidi sasa mnashindwa hata kusema pole kwa rais wenu. Tumwombe Mungu atutoe hapa

    Akimaliza tu huu msiba wa mumewe na hiyo habari ya kukaa eda/ hitma Siku 40 atajirudi. Ataelewa alipo jikwaa… hizi chuki kaziasisi yeye Kwa kauli zake ( kifo ni kifo ) na hajawapa pole wafiwa wa 29/10, Ali kibao na wengine. Kwa nini watu wasimtende kama anavyo watenda wengine? Ajirudi tu ndipo...
  14. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Ni tetesi gani zilivuma sana miaka ya nyuma lakini hazikuwa za kweli?

    Habari za popobawa, habari za wanyonya damu na habari ha Chunusi huko baharini, labda Mshana Jr atakuja kutoa ufafanjzi mzee wa vilingeni...
Back
Top Bottom