Recent content by S.M.P2503

  1. S.M.P2503

    Kumbe na wao huwa wanaumia moyoni wanaposoma komenti za wanaofurahia MwanaCCM akifa! Mbona hawakukumea ile kauli " kifo ni kifo"

    "kifo ni kifo tu".. hii kauli ina- , apply kwa ccm , viongozi wake, wanachama wao na kauli hiyo ni kwa wapenzi wazo, ila kwa walio wengi, bado hatujakubariana na kauli hiyo...
  2. S.M.P2503

    Mawakili wa Lissu wamfungulia kesi Kamishna wa Magereza na Mkuu wa Gereza kuu la Ukonga

    Nilisha Sema humu ndani kitambo sana. Chadema inapaswa kuwa na mawakili katika Kila kijijini cha nchi hii ambao watasimamia haki za wanachama wao. Vijijini havizidi 144k navIkitokea wanachama wanaonewa, nchi nchi nzima inakuwa ni mtanange wa kisheria. Ni ghali , lakini hiyo ndiyo njia nyepesi ya...
  3. S.M.P2503

    Kuna mbibi ana miaka 43 anataka huduma ya ngono kutoka kwangu mimi yanki mwenye 37yrs. Imekaaje kitaalamu hii wakuu?

    kyagata ukweli ni kwamba umekwisha mchakata... sasa huo ushauri ni wa nini unaotuomba humu ndani? We endelea tu kumchakata hadi mtu wake toka Marekani arudi... au kama unataka kumuweka ndani, muweke kabisa ili ampotezee huyo njemba wake wa huko USA.
  4. S.M.P2503

    SAFI SANA, Trump amejishusha na kukubali kusitisha mashambulizi Iran

    Hivi ni huyu huyu Mr. Trump kweli? Hiyo sentence ya kwanza, " I am please"... typo au ni nini?
  5. S.M.P2503

    Hivi, ni sahihi kwa Mtoto kumchukia mzazi wake kwasababu ya kuachana kwa Wazazi?

    Mara nyingi ( Pigia mstari mara nyingi), huwa ni akina mama kuwarisha watoto wao matango pori na kusababisha hiyo chuki... watoto wanapofika umri wa miaka 18 na kuendelea na au kukumbana na changamoto za ndoa na mahusiano ya kimapenzi, ndio huyajua hayo matango pori waliyolishwa na mama zao...
  6. S.M.P2503

    Mazingira ya Lissu Bado tata Gerezani!

    Je wewe Ndugu yangu, ulisha wahi kushikiriwa huko gerezani? Kama bado, basi jua kwamba Zamu yako inakuja kwa kasi ya kimondo.
  7. S.M.P2503

    Wakili Maduhu: Ukimpiga picha na kumpost mwanao 'status' unafanya kosa

    Hii Sheria ikisimamiwa vyema, serikali itapata maokoto sana toka hujo FB, Instagram, Tiktok na etc
  8. S.M.P2503

    Hivi inakuaje mzee wa miaka 65 Hana hata chumba kimoja cha kukaa?

    Kama unaishi kwenye nyumba ya vioo, tafadhari sana usimrushie jilani yalo mawe. Fainali uzeeni ndugu yangu...
  9. S.M.P2503

    Ni njia zipi za Kimahakama zinazoweza kufuatwa ili kutafuta haki kabla ya kwenda kuitafuta nje ya mfumo huo?

    Hao majaji nao ni wapumbavu tu, wanaruhusuje hiyo rufaa ikakatwe wakati wanajua fika kwamba majibu ya rufaa hiyo hayamalizi kesi ya msingi? Na hata huyo msajili wa mahakama ya rufaa naye ni kihiyo mwingine. Haya mambo yanayia sana hasira... ingefaa nao wakae gerezani kwa kumtesa mwenzao siku...
  10. S.M.P2503

    Credit Card au Debit Card: Ni kadi ipi Inafanya Maisha yako Kuwa Rahisi Zaidi?

    Credit card maana Kwa mfano ukinunua vitu Mtandaoni au hata ticket ya ndege halafu mtoa huduma anakuletea magumashi, Mizengwe,ni rahisi Sana kuzidai fedha zako kuliko kama ungetumia debit card… Cha msingi ni lipa kwa kutumia credit ( mkopo) na bill yake ikija ( ya hiyo credit card) ilipe yote -...
  11. S.M.P2503

    Unatafuta nini more thani 2 min sex

    Namuita kyagata na Isenye waje watoe muongozo - Mada Kama hizi wana uzoefu nazo sana… Njooni mtoe muongozo.
  12. S.M.P2503

    Je, wananchi wa Tanzania tunaweza kujivunia nini kama nchi na sisi kama wananchi?

    kyagata , atajibu: “ kunyanduana”😁
  13. S.M.P2503

    Hivi huyu mwanamke ni mke wa mtu kweli wakuu?

    kyagata haya hayamuhusu maana kachanja😁
  14. S.M.P2503

    Hivi huyu mwanamke ni mke wa mtu kweli wakuu?

    kyagata nyumbani ni mbali kwa kweli…lakini uzuri kuna lami na mtelezo poa
Back
Top Bottom