Nimetengeneza profile ya maombi ya NACTE, pia gharama zote nimelipa za maombi. Sasa nahitaji kuomba kozi za ualimu diploma lakini sioni option ya elimu kwenye akaunti yangu.
Napata option moja tu ya health and allied sciences, msaada naombaje kozi za ualimu NACTE?
tunamsubiri mh. waziri mkuu na yametolewa masaa kadhaa, baada ya hapo asipokuja tutaelekea mjengoni leo hii.
lazima kieleweke leo maana viongozi wanajisahau sana,so ni vyema tuwakumbushe majukumu yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.