Recent content by Rwezaurajr

  1. Rwezaurajr

    For JamiiForums Mobile users

    Mobile[/COLOUR]
  2. Rwezaurajr

    Roho ya mwanadamu

    1. Inawezekanaje Roho ya MTU huyu kumuingia yule.. Naomba ufafanuzi. 2. Hizo roho zinazozunguka hutafuta miili ya watu wazima au watoto ambao ndo wapo kwenye mchakato wa kuzaliwa!?
  3. Rwezaurajr

    Je, Mungu kaumba baadhi ya wanadamu kwa upendeleo wa akili na maarifa?

    Waafrika tuna akili nyingi kuliko hata wazungu.. Tatizo lipo katika matumizi ya maarifa yetu. Tunatumia 2/10 ya akili ambayo tunayo katika mambo yetu yote. Wazungu wanatumia 7/10 ya akili yao na ni katika jambo moja tu litakalo mletea manufaa.. Hapo ndo penye utofauti mkubwa hatujitumi hatuwazi...
  4. Rwezaurajr

    Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

    Mkuu naomba mistari ya biblia yetu ya kawaida inayomzungumzia huyu mwanamke
  5. Rwezaurajr

    Mwanaume bila gari ni aibu kubwa

    Hukumuona rais putin juzi anatembea barabarani kwa miguu tena umbali mrefu tuu na jua Kali.. Gari sio kitu cha kujivunia wala na sio kitu cha lazima kuwa nacho
  6. Rwezaurajr

    Top 10 richest people in Tanzania (orodha ya matajiri 10 Tanzania)

    Alaf hao wengine wote mbona hamna thamani ya utajiri wao? Zaidi ya Mengi tu kuwa kadirio la milion 560$
  7. Rwezaurajr

    Hivi Mafunzo haya ya Ukomandoo ya hizi nchi na wa hapa Tanzania hufanana?

    Ninachofahamu zoezi namba 1 3 5 na 6 wabongo nao wanafanya pia haya.
Back
Top Bottom