Nchi hii iko na mambo ya ajabu sana .. mwalimu katajwa kwa barua aliyoandika huyo mwanafunzi lakini bado serikali imekula buyu.
walimu sidhani kama mtakuja kuwa na maisha mazuri kiukweli kama hali itaendelea kuwa hivi.
ualimu umekuwa kama genge la wahuni daah inauma.
itoshe basi.
nziu
Sio kweli, sema kwakuwa bado UNATEGEMEA wazazi ujakuwa siku ukikuwa utaelewa.
watanua mapaja wako na wengi ni wasomi tena wanapanua kwa kufosi... ili watu wawapanue...
Siku ukijitambua utaelewa nilichoandika.
Afrika tumekuwa program baada ya kutawaliwa, Maendeleo yametuondolea mambo yetu ya msingi (asili yetu) pia Elimu imebadilisha kila kitu chetu.
Mfano mdogo.. Madawa, vyakula, imani n.k.
Technology.
Aliyeleta technology, lengo lake apate pesa sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.