Hayo ndo matakwa ya wakubwa nyuma ya The New World Order.
Sasa mtaanza kuona kuwa COVID-19 imetengenezwa. Baadaye hata kusafiri utahitaji Passport ya Chanjo ya COVID-19.
Tuwe macho na tusubirie. Illuminati wamo Kazini.
Busara ni kuuweka mkoa wa Dar chini ya karantini....... asiingie mtu wala kutoka mtu kwa angalau mwezi mmoja. Ikibidi JWTZ watumike kwa vita hii.
Wafaransa Watatumia jeshi nadhani pia Uganda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitakacho badilika ni dhana ya Mungu mviziaji, mfuatiliaji, mchunguzaji, wa maisha binafsi ya binadamu. Mungu sadist anayesubiri kuwachoma moto wanadamu na akafurahishwa na maumivu yatokanayo na ukatili huo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.