Kama ana ushahidi wa kuaminika aende nao kikosini ambako huyo askari anafanya kazi aombe kumuona mkuu wa kikosi (OC). Akiwa na vielelezo vyake. Kosa hilo kijeshi ni moja ya makosa makubwa ya kufukuzwa jeshi. Usiogope hao MP wa Quaoter guard. Maana wa naweza kukutisha ukakimbia.
Huo Ndiyo Ukweli Mchungu. Double glazing ni kwa ajili ya nchi za baridi. Na ni sheria mtu hairuhusiwi kuweka Madirisha na milango ambayo siyo double glazed pamoja na kuta ambazo si insulated. Na kazi mama ya double glazing na kuta kuwa insulated ni kuzuia baridi ya nje isiingie ndani na joto la...
Unataka kusema wale wachangiaji wakuu ' Development Donors'
ya Kanisa kama akina Dr Jimmy Onaz wana viti, vyao vya kukaa Kanisani and are treated differently? Oh My!
Kwa bandiko hili una wa bia Wajerumani waache kuunda malori ya Mercedes Benz ngumu waige Howo za Kichina. Mswidi aache kuunda Scania thabiti aunde kama Yutong ya Mchina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.