Recent content by Rwankomezi

  1. R

    JamiiForums Tanzania Ni zipi faida zilizopatikana kwa kufanyika kwa Arusha Land Rover Festival 2024

    Wewe jamaa pambania maisha yako...ushataja faida zilizopatikana alafu unataka faida kubwaa kwani hizo landlover zilikuwa zinauzwa si wanaonyeshana alafu wananunua tuvinywaji na vyakula kwa wajasiliamali?
  2. R

    JamiiForums Tanzania Kikosi cha club ya Young Africans (Yanga) ndio kikosi bora kwa sasa Afrika

    Yaaani kucheza na kuwashinda hao viwete ndo kishakuwa kikosi Bora?
  3. R

    JamiiForums Tanzania Dkt Bashiru aliyeokotwa kwenye jalala anaweza kutangazwa makamu Mwenyekiti wa CCM.

    Mleta mada hacha ujinga,hii nchi ata ufanye nini hauwezi itenganisha na mwalimu Nyerere na nyakati zake mana bado tunaishi na maono yake yaliyo Mengi. Yapo ya kuyaacha na bado yapo tunayoyachukua kwa muasisi wetu...Huyu bashiru ni mtu makini sana Tatizo lake ni zile tabia za kihaya tu...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Hizi ni Nchi zinazotoa VISA bure, Wabongo tunafeli wapi kusongamana ughaibuni kama Wanaijeria

    Mkuu wangu naona unapoteza tu muda wako...jamaa anakwepa swali lako alafu anajifanya kujua sana... Ishu sio visa ishu ni uhamiaji wazenguaji sana.nimesahidia kumpa mwanga ili next time hasiwe anaruka baadhi vipengele.
  5. R

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo treni yenye spidi ya kasi sawa na ndege, nilidhani uongo kumbe kweli

    Ili jukwaa ni kusahidiana kueleweshana wanajua wanatoa elimu kwa wasiojua,sasa hizi karaha za nini mkuu?
  6. R

    JamiiForums Tanzania SGR: Dar mpaka Moro na Moro mpaka Dodoma masaa mangapi?

    Wakati Dar Dodoma kwa bus ni 29000 naongeza zangu 2000 napanda mwendokasi.
  7. R

    JamiiForums Tanzania Siku ya Mashujaa Treni ya SGR DAR - Dodoma yaanza safari, Shujaa Magufuli utakumbukwa Daima!

    Hacha ujinga jifunze kuwa mnaongelea vitu vya maemdeleo vilivyofanyika na nani kafanya na apewe sifa yake.
  8. R

    JamiiForums Tanzania Hayati Magufuli angekuwa bado ni Rais wawekezaji wangekuwa wameshakimbia wote

    Bado mnashindana na aliyekufa. Waulize wanaotaka kuogombea chaguzi 2025 kampain watatutumia Hoja zipi kama sio miradi aliyoianza JPM?
  9. R

    JamiiForums Tanzania Tuwe na adabu Kwa Jakaya, yaani wewe kijana wa misungwi , mbinga, kibondo unajua mipango ya nchi kuliko jakaya hadi umzodoe?

    Kwenye Unga hapo naungana na wewe,Mpaka ikafika wakati wanataka kubadilishana mateka na Aridhi yetu ya Bagamoyo...Kaharibu sana vijana wa kinondoni na sjui kwa nn mpaka leo afi akapate Adhabu yake mbinguni.
  10. R

    JamiiForums Tanzania Siku ya Mashujaa Treni ya SGR DAR - Dodoma yaanza safari, Shujaa Magufuli utakumbukwa Daima!

    Ulitaka akuite wewe shujaaa wakati upo kwa shemeji yako mnaugulia maumivu pamoja wewe na dada yako.??
  11. R

    JamiiForums Tanzania Mbowe hapedwi na CCM kwasababu ni CEO mzuri

    Mleta mada ww nadhan utakuwa ulikuwa Bar ushalewa...haongeki hao 19 walioko Bungeni kama viti maalumu nani aliongwa ili waingie.
  12. R

    JamiiForums Tanzania TCRA Walimpongeza Nape Baada Ya Kutumbuliwa na Rais: Hii ni Dharau Kwa Mamlaka

    N NAPE ni boguz hajawaai fanya lolote zaidi ya Kuwa jinga jinga tu.
  13. R

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuelewa chanzo cha hewa au oxygen ni kipi

    Nzee hapa umetufunga kamba...upepo ni hewa inayosafiri kutoka mgandamizo mkubwa kwenda Mdogo.
  14. R

    JamiiForums Tanzania Je, ni kwanini haiwezekani kuyachoma moto maji?

    Jamaaa umejibu kwa akili kubwa sana Hongera.
Back
Top Bottom