haaaaaaaaah! tukisoma historia pia tukiangalia uharisia na tukitupa jicho katika dini mwanamke huwezi kumwongoza mwanume wala kumfokea ila unachotakiwa wewe ni kumshauri tu. ukitaka kuamini hilo ndio maana kuna sheria za kutetea haki za wanawake kwa sababu wanajua hamjakamilika kumzidi mwanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.