Recent content by Rwabugonzi

  1. R

    "Wanawake Wenzako". Hii Ni Kauli Ya Dharau Sana Iliyotolewa Na Luhaga Mpina Kwa Amiri Jeshi Mkuu. Imeniudhi Sana

    Kuhusu kudhalilishwa kwa Rais wetu Mpendwa kutokana na tamko la Mhe. Ruhaga Mpina namuomba radhi sana Mheshimiwa Rais wetu Mpendwa. Inaonekana dhaaahir kuna kitu hakipo sawa kwa huyu ndugu yetu. Hii inanikumbusha kauli ya Kiongozi wetu wa awamu ya tano Mwenyezi Mungu amrehemu kuhusu hali ya...
  2. R

    The Man from Rubambangwe was right not to collaborate with hypocrites politicians for the interest of the Nation

    Hivi katika historia ya nchi yetu kuna kipindi kiliwahi kutokea uongozi wa kisanii kama ilivyokuwa wakati wa Mzee wa Rubambangwe? Labda tujikumbushe japo kwa uchache. Mikopo ya hatari iliyokopwa ktk mabenki ya biashara huku tukiaminishwa kuwa nchi yetu ni "Donor county", kupora korosho za...
  3. R

    Ni mbunge Mpina pekee anayetumia ubunge wake ipasavyo, wabunge mliobaki naomba tujikumbushe majukumu ya Bunge la Tanzania

    Kichwa cha habari cha bandiko kinamhusu Luhaga Mpina, maelezo ya habari yanamhusu Mbunge Joseph Kasheku na Jumanne Kishimba. Mwandishi amekusudia Kutujuza nini katika bandiko hili
  4. R

    Rais Samia anapambana kujenga Taifa, Hayati Magufuli alipambana kujenga nchi

    Magufuli alikuwa mwizi na tapeli. Alipora fedha kwenye account za wafanya biashara na pengine kupora fedha taslimu kwenye maduka ya kubadili fedha kwa kisingizio cha kujenga miradi ya kiuchumi. Hata hivyo miradi mingi haikutengewa bajeti na bunge. Mzee yule alifikia hatua hadi kupora korosho za...
  5. R

    Prof. Lipumba: Rais Samia Kadanganywa na Kikosi kazi cha Demokrasia, hatukukubaliana vile

    Huyo ni propesa. Mvuto umekwisha. Ruzuku imemwishia. Sasa apige tu kelele. Labda mwendazake na siro watamsaidia.
  6. R

    Maandamano Ufaransa kupinga kampuni ya Total kujenga bomba la mafuta la Uganda na Tanzania

    Hapo mwanzoni huo mradi ulikuwa ni dili la Kenya na Uganda. Lkn baada ya Mzee Kaguta kutafakari kwa kina Hii hujuma ni ya Kenya. Hao wengine wamekokotwa you. Mwanzoni huu mradi ulikuwa upitie Kenya hadi Mombasa (Takriban KM 2000). Mzee Kaguta akawastukia wakenya na akaamua huo mradi upite...
  7. R

    Sisi wafuasi wa Hayati Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Rais Samia

    Ukimtaja mwendakuzimu na porojo zake za donor county unanikumbusha aibu iliyoipata nchi yetu kwa kupora rambirambi za wahanga wa tetemeko. Alikuwa mshamba sana yule Mzee.
  8. R

    TAMISEMI rasmi yaamua kuua elimu yetu Darasa 1 mpaka kidato cha 6? Nini kazi ya Wizara ya Elimu,OR na Necta?

    Hapo mimi naona vumbi tu kama si matope. Haiwezekani kuufuata mwongozo wa TAMISEMI halafu tukategemea kupata matokeo. Kuna somo mfano BIOLOGY, huwezi kufundisha mada kwa kuzingatia mpangilio wa mada za muhtasari, kwa sababu kuna baadhi ya mada ambazo mwalimu hutakiwa kuzifundisha kwa kuzingatia...
  9. R

    Edward Ngoyai Lowassa anaumwa, alazwa ICU Muhimbili

    Mwenyezi Mungu amjaalie uponyaji, Ili arejee katika hali yake ya kawaida na kuendelea na shughuli zake.
  10. R

    Happy Birthday Rais Samia! Mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu

    HBD to Madame President Samia Suluhu Hassan
  11. R

    Muleba, Kagera: Walinzi wanaosemekana ni wa Suma JKT waua mtu kwa risasi karibu na Guest House

    Hawa vijana wa SUMA JKT wamekuwa wakilinda taasisi mbalimbali za umma na binafsi, kama vile hospitali, mabenki nk. Sijawahi kuona ukatili kwa sababu huwa wanahoji vizuri na kutoa msaada au maelekezo pale inapotakiwa. Huyo mhanga atakuwa amelitafuta. Pia ikumbukwe kuwa wengi katika vijana wa...
  12. R

    Ndani ya kipindi cha chini ya mwaka mmoja Rais Samia Suluhu ameweza kutoa fedha kwa madai ya malimbikizo yote ya watumishi

    Hapo nilikusudia kwamba watu walionyang'anywa madaraja yao 2016 yamerejeshwa 2018 wakati tayari walipaswa kupanda tena. Hali hii imeleta usumbufu mkubwa kiasi kwamba watumishi ambao hawakuguswa na mtihani huo tayari wamewapita wenzao madaraja, japo ni wakongwe kazini.
  13. R

    Ndani ya kipindi cha chini ya mwaka mmoja Rais Samia Suluhu ameweza kutoa fedha kwa madai ya malimbikizo yote ya watumishi

    Katika hili, namuombea sana mama, Mwenyezi Mungu amjaalie heri nyingi. Pia namshauri aangalie uwezekano wa kuwapandisha watumishi waliopandishwa madaraja 2015 na kisha kunyang'anywa 2016 kwa kile kilichodaiwa "kupisha uhakiki" wa vyeti feki. Hongera sana Mama, Mwenyezi Mungu akutangulie katika...
Back
Top Bottom