Recent content by Rutechula

  1. R

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Mbona mimi nawapata Jf bila VPM??
  2. R

    GE2025 Tarime Mjini; Mgombea wa ACT-Wazelendo, Jackson Kangoye aenguliwa na INEC kumsaidia Esther Matiko

    Mojawapo ya topic ndani ya somoboa NRNE So called INEC Oyeeeeeeeehhhhhhh Wacha washike adabu yao
  3. R

    Jaribio la kuivamia JF kwa kusudi la kumkamta Maxence Melo halikubaliki na tunawaonya watu wanaoshiriki vitendo kama hivyo

    Wenye serikali yao CCM na Police njooni mtunyoshee maelezo na TISS wanaruhusiwa pia. Maana usalama wetu ni muhimu sana wakati wote.
  4. R

    CHADEMA yamteua Gerva Bernard Lyenda kuwa mkuu wa Idara ya Habari

    Msajili utasikia anasema sijawapa kibali kumteua 😁😁😁😁 Kwa wateule wa CCM uwa haoni cha kuuliza kabisaaaahhh
  5. R

    Tuitaadhari nchi yetu na udini, baadhi ya maaskofu wanaonesha hasira kwa kukosa Rais au Mstaafu wa upande wao, wanaeneza mgawanyiko na chuki nchini

    Sawa ila fuatilia kwa ukaribu usemalo. 1. Unaizungumziaje ziara ya kwa Mwampisa - Uzinduzi wa hema. 2. Unakumbukaje harambee ya KKKT Dayasisi ya Mashariki na Pwani - Askofu Malasusa. 3. Unafuatilia ya Gwajima na serikali kuhusu kanisa lake. 4. Ulisikia risal na ukumbe toka kwa maimumu kwenye...
  6. R

    Jaji Mkuu, George Masaju aagiza watuhumiwa kuwajulishwa Haki ya Dhamana

    Utapeli wa kisiasa mbona kesi ya kubambikizwa ya TAL hajaisemea ikiwa ni pamoja na kunyimwa haki zake za msingi akiwa gerezani. Hon Masaju anza na kesi ya TAL ndipo maneno yako yatakuwa na maana sana na siyo talalalila za kisiasa
  7. R

    GE2025 Sakata la Mpina kugombea Urais kupitia ACT Wazalendo latua mezani kwa msajili, watakiwa kutoa maelezo

    Mbona CCM walivunja taratibu zao na hawakuwahi kuambiwa wajieleza😳😳😳😳
Back
Top Bottom