Recent content by Rutechula

  1. R

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Heche Ahojiwe, Hakuna Kinga kwa Ufisadi

    Hela za nani? Ruzuku?
  2. R

    JamiiForums Tanzania Huyo Mwenzao mmoja anayesemwa na Samia kwamba anaendelea kutafakari ni nani na anatokea Chama gani?

    Kwani sisi ndiyo tumemshikilia? Habari kama hiyo tafadhali wasiliana na DPP na wenzake wanao mshikilia OK.
  3. R

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Rufaa yatupilia Mbali Maombi ya DPP ya Kuongeza Ushahidi Katika Kesi ya Tundu Lissu

    Kwa wasomaji wote taarifa ni kwamba hadi sasa hivi Jamihuri haukuwahi kuingiza ushahidi wowote mahakama kuu kuhusu uhaini. Ushahidi wao wote aidha ulikataliwa au mtuhumiwa aliutumia kama wa kwake. Tusubiri tuone Katunga atakuja na wimbo gani
  4. R

    JamiiForums Tanzania Manara amuonya Heche, asema kama hamuwezi kuiongelea vizuri AFCON, kaeni kimya

    Futeni habari ya ugaidi mpate AFCON maana kufa kufaana au
  5. R

    JamiiForums Tanzania Manara amuonya Heche, asema kama hamuwezi kuiongelea vizuri AFCON, kaeni kimya

    Manara ugaidi haukusemwa na CHADEMA muhimu waambie watu wako waache kutumia ugaidi kama siraha ya kujihamo, nje ya hapo utaitafuna nchi sana. Na kwa hilo wa kulaomiwa anajulikana na kuonekana wazi wazi siyoCHADEMA maana yenyewe inajibu mapigo kwa sauti kubwa sana OK
  6. R

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Rufaa yatupilia Mbali Maombi ya DPP ya Kuongeza Ushahidi Katika Kesi ya Tundu Lissu

    Sawa mkuu ila usiangalie upepo Nadhani CW inahusuka na makala zako 😁😁😁😁😁😁😁
  7. R

    JamiiForums Tanzania Hakuna kiongozi hata moja wa CHADEMA anae kubalika Bara na Visiwani

    Tunaendelea kuona uonevu wa aina yake katika kipindi hiki
  8. R

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Rufaa yatupilia Mbali Maombi ya DPP ya Kuongeza Ushahidi Katika Kesi ya Tundu Lissu

    😂😂😂😂😂😂😂😂 Salamu njema sana kwa Katuga
  9. R

    JamiiForums Tanzania Hakuna kiongozi hata moja wa CHADEMA anae kubalika Bara na Visiwani

    https://youtu.be/s0Fc875fMS0?si=qVFsnhEnKmmtkIgV
  10. R

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Rufaa yatupilia Mbali Maombi ya DPP ya Kuongeza Ushahidi Katika Kesi ya Tundu Lissu

    https://youtu.be/s0Fc875fMS0?si=qVFsnhEnKmmtkIgV
  11. R

    JamiiForums Tanzania Katibu Baraza la Wazee CHADEMA: Tulipanga kuandamana ili Heche atupishe, Msajili ingilia kati

    😁😁😁😁 bado hamchpki uwiiiiiihhh CCM maji yameisha kuwa kina kirefu yaani hata boya (life jacket) halifai. Heche mnaye hadi kiama badirisheni muziki piga japo wa Kalala Mbwembwe.
  12. R

    JamiiForums Tanzania Anafanya biashara ya matunda usiku wa manane Bar akiwa na mtoto mdogo mgongoni, Dorothy Gwajima hii ni sawa?

    Umefanya jambo zuri sana kwa mstakabari wa malaika wa Mungu na Mungu akubaruki sana. 🙏🏼🙏🏼👍👍 Ndiyo faida ya JF
  13. R

    JamiiForums Tanzania Machapisho ya kitaaluma ya Ndg melkisedeki Kitunzi kaijage

    Wazo muhimu ili naye tujue andiko kake lilihusu nini
  14. R

    JamiiForums Tanzania Tujadili hii kwangua kwangua ya barabara kila mwaka ina tija gani?

    Udongo wenyewe mfinyanzi, mvua kidogo magari hayaendi kabisa
Back
Top Bottom