Recent content by Rutechula

  1. R

    JamiiForums Tanzania Je, wajua Tanzania ina Makamu wawili wa Rais? Mmoja ni halali na mwingine ni batilifu hadi Septemba 4 ndipo anakuwa halali. Rais na VP Sio Wabunge!

    Kati ya hoja nzuri na yenye mashiko ni hii. Hakika wewe ni mwanasheria na wakili wa ukweli. Shida ya CCM ni kwamba wanajiona wako juu ya kila kitu hata juu ya katiba yaani untouchable. Kutoshitakiwa na mamlaka yoyote ni pamoja na CCM hivyo hata hii habari ya kumfanya incommunicado ni ukiukwaji...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Katiba ya Tanzania haimtambui rais kama binadamu wa kawaida inamuona ni 'mungu'

    Utasikia wanufaika wanasema habari ya chakula mezani na si ni kitabu tu
  3. R

    JamiiForums Tanzania Katiba ya Tanzania haimtambui rais kama binadamu wa kawaida inamuona ni 'mungu'

    Hakika shida ya nchi hii inaanzia hapo, maana mtu mmoja anakuwa ndiye nchi ndiye jeshi, polisi, mwajiri, bunge, mahakama yaani kila kitu cha mchi hii ni yeye na waliomzunguka. Hivyo tunaposema katiba mpya machawa hayaelewi shida ya mtu mmoja kumiliki kila kitu ikiwa ni pamoja na uhai wa watu...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Donald Felix Mwembe: Lissu amekaa sana gerezani inauma, Heche akubali maridhiano atoke

    Tunakushukuru sana kwa huruma yako ila sasa ina harufu ya mshiko wa kuharibu chama. Kama CCM wanataka mazungumzo si wamuachie lakini hawataki na wewe unajua kuwa hawataki sana sana CCM wanataka wamtumie kama chambo au karata ya kutaka wanayo yataka. Ila sisi CDM hatulikubali hilo na pia...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini asijiuzulu Leo badala ya tarehe 4 Septemba? Anataka kumalizia kazi gani aliyoisahau na anadhani watampa nafasi aikamilishe?

    Muhimu ni 1. kwa nini hakuna neno lolote kutoka serikalini? 2. ⁠Mbona barua haikuandikwa kwenye official headed paper? 3. ⁠Kwa nini anasema nimemwandikia Rais barua alafu maudhui ya hiyo barua yanakuwa sehemu ya taarifa?? 4. ⁠Mbona main media (TBC, ITV etc) za hapa nchini hazitangazi hiyo habari
  6. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Lissu: Kwenye kusambaza NO REFORMS NO ELECTION Hatukuzungumza na CCM, kwa sababu hao ni CCM

    Ulitaka aseme ukweli upi au kama wewe unaujua twambie pls pls pls
  7. R

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Sikumuomba Samia nirudi nchini, Yeye ndiye aliyenitafuta wakati huo Mbowe yuko Gerezani

    Siyo raisi CCM kuaminika hadi siku ya kiama😀😀😀
  8. R

    JamiiForums Tanzania Wale wazee wa salary advance sasa imerejea kazi iendelee

    Inasikitisha sana maana hii inatokana na wengi wa watumishi / waajiriwa wakiwemo Polisi na Walimu kuli pwa mshahara kidogo usiokidhi mahitaji ya sasa. Mfano take hone ya 400,000 kwa familia ya kawaida ulipe maji, umeme, nyumba / chumba, nauli ya kwako na familia yako, mavazi, extended families...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Lissu angekuwa anaishi Marekani kwa mke na watoto wake Leo hii watumishi wa umma wangekuwa mbali sana kiuchumi.

    Kwani yeye ndiye anaamua hatima ya bageti ya serikali??????
  10. R

    JamiiForums Tanzania Hon Shabiby atetea abiria

    Sikiliza moaka mwisho
  11. R

    JamiiForums Tanzania Hon Shabiby atetea abiria

  12. R

    JamiiForums Tanzania Sikiliza maoni ya waTZ wa vijijini

    https://youtube.com/shorts/vURWHFGE2so?si=13uLAsIYUO514FqJ
  13. R

    JamiiForums Tanzania Sijaridhishwa na kitendo cha Freeman Mbowe kujumuika pamoja na Wanaotuua

    Sawa ila waache wafu wazike wafu wao na ndege wa rangi moja huruka pamoja tulisema time will tell wana-Cuba mtanielewa eti
  14. R

    JamiiForums Tanzania Uwepo wa Mbowe kwenye ufunguzi wa bwawa la Mwl Nyerere ni usaliti kwa Lissu?

    Labda kwa kupoteza umaarufu na umuhimu kwenye jamii anaona kwa kuwa karibu nao labda jina lake linaweza japo kuonekana kwenye media Ni hayo tu
Back
Top Bottom