Recent content by Rutechula

  1. R

    JamiiForums Tanzania Hongera mama: Tuliosema mauza uza yatatokea kabla ya uchaguzi tulikuwa sahihi kwa asilimia mia moja

    Mimi naipata bado au ni JF gani mkuu
  2. R

    JamiiForums Tanzania Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Mbona mimi nawapata Jf bila VPM??
  3. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tarime Mjini; Mgombea wa ACT-Wazelendo, Jackson Kangoye aenguliwa na INEC kumsaidia Esther Matiko

    Mojawapo ya topic ndani ya somoboa NRNE So called INEC Oyeeeeeeeehhhhhhh Wacha washike adabu yao
  4. R

    JamiiForums Tanzania Jaribio la kuivamia JF kwa kusudi la kumkamta Maxence Melo halikubaliki na tunawaonya watu wanaoshiriki vitendo kama hivyo

    Wenye serikali yao CCM na Police njooni mtunyoshee maelezo na TISS wanaruhusiwa pia. Maana usalama wetu ni muhimu sana wakati wote.
  5. R

    JamiiForums Tanzania Mwandishi wa EATV ashambuliwa na wanaodaiwa kuwa polisi, wakati akifuatilia changamoto ya usafiri wa mwendokasi Mbezi

    Labda baada ta kutapika maji ya kijani na njano😁😁😁😁
  6. R

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yamteua Gerva Bernard Lyenda kuwa mkuu wa Idara ya Habari

    Msajili utasikia anasema sijawapa kibali kumteua 😁😁😁😁 Kwa wateule wa CCM uwa haoni cha kuuliza kabisaaaahhh
  7. R

    JamiiForums Tanzania Tuitaadhari nchi yetu na udini, baadhi ya maaskofu wanaonesha hasira kwa kukosa Rais au Mstaafu wa upande wao, wanaeneza mgawanyiko na chuki nchini

    Sawa ila fuatilia kwa ukaribu usemalo. 1. Unaizungumziaje ziara ya kwa Mwampisa - Uzinduzi wa hema. 2. Unakumbukaje harambee ya KKKT Dayasisi ya Mashariki na Pwani - Askofu Malasusa. 3. Unafuatilia ya Gwajima na serikali kuhusu kanisa lake. 4. Ulisikia risal na ukumbe toka kwa maimumu kwenye...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu, George Masaju aagiza watuhumiwa kuwajulishwa Haki ya Dhamana

    Ndiye mwandika kanuni za gizani
  9. R

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu, George Masaju aagiza watuhumiwa kuwajulishwa Haki ya Dhamana

    Utapeli wa kisiasa mbona kesi ya kubambikizwa ya TAL hajaisemea ikiwa ni pamoja na kunyimwa haki zake za msingi akiwa gerezani. Hon Masaju anza na kesi ya TAL ndipo maneno yako yatakuwa na maana sana na siyo talalalila za kisiasa
  10. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Sakata la Mpina kugombea Urais kupitia ACT Wazalendo latua mezani kwa msajili, watakiwa kutoa maelezo

    Mbona CCM walivunja taratibu zao na hawakuwahi kuambiwa wajieleza😳😳😳😳
Back
Top Bottom