Sawa ila fuatilia kwa ukaribu usemalo.
1. Unaizungumziaje ziara ya kwa Mwampisa - Uzinduzi wa hema.
2. Unakumbukaje harambee ya KKKT Dayasisi ya Mashariki na Pwani - Askofu Malasusa.
3. Unafuatilia ya Gwajima na serikali kuhusu kanisa lake.
4. Ulisikia risal na ukumbe toka kwa maimumu kwenye...
Utapeli wa kisiasa mbona kesi ya kubambikizwa ya TAL hajaisemea ikiwa ni pamoja na kunyimwa haki zake za msingi akiwa gerezani.
Hon Masaju anza na kesi ya TAL ndipo maneno yako yatakuwa na maana sana na siyo talalalila za kisiasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.