Kwa wasomaji wote taarifa ni kwamba hadi sasa hivi Jamihuri haukuwahi kuingiza ushahidi wowote mahakama kuu kuhusu uhaini.
Ushahidi wao wote aidha ulikataliwa au mtuhumiwa aliutumia kama wa kwake.
Tusubiri tuone Katunga atakuja na wimbo gani
Manara ugaidi haukusemwa na CHADEMA muhimu waambie watu wako waache kutumia ugaidi kama siraha ya kujihamo, nje ya hapo utaitafuna nchi sana.
Na kwa hilo wa kulaomiwa anajulikana na kuonekana wazi wazi siyoCHADEMA maana yenyewe inajibu mapigo kwa sauti kubwa sana OK
😁😁😁😁 bado hamchpki uwiiiiiihhh
CCM maji yameisha kuwa kina kirefu yaani hata boya (life jacket) halifai.
Heche mnaye hadi kiama badirisheni muziki piga japo wa Kalala Mbwembwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.