Kati ya hoja nzuri na yenye mashiko ni hii. Hakika wewe ni mwanasheria na wakili wa ukweli.
Shida ya CCM ni kwamba wanajiona wako juu ya kila kitu hata juu ya katiba yaani untouchable. Kutoshitakiwa na mamlaka yoyote ni pamoja na CCM hivyo hata hii habari ya kumfanya incommunicado ni ukiukwaji...
Hakika shida ya nchi hii inaanzia hapo, maana mtu mmoja anakuwa ndiye nchi ndiye jeshi, polisi, mwajiri, bunge, mahakama yaani kila kitu cha mchi hii ni yeye na waliomzunguka.
Hivyo tunaposema katiba mpya machawa hayaelewi shida ya mtu mmoja kumiliki kila kitu ikiwa ni pamoja na uhai wa watu...
Tunakushukuru sana kwa huruma yako ila sasa ina harufu ya mshiko wa kuharibu chama.
Kama CCM wanataka mazungumzo si wamuachie lakini hawataki na wewe unajua kuwa hawataki sana sana CCM wanataka wamtumie kama chambo au karata ya kutaka wanayo yataka.
Ila sisi CDM hatulikubali hilo na pia...
Muhimu ni
1. kwa nini hakuna neno lolote kutoka serikalini?
2. Mbona barua haikuandikwa kwenye official headed paper?
3. Kwa nini anasema nimemwandikia Rais barua alafu maudhui ya hiyo barua yanakuwa sehemu ya taarifa??
4. Mbona main media (TBC, ITV etc) za hapa nchini hazitangazi hiyo habari
Inasikitisha sana maana hii inatokana na wengi wa watumishi / waajiriwa wakiwemo Polisi na Walimu kuli pwa mshahara kidogo usiokidhi mahitaji ya sasa. Mfano take hone ya 400,000 kwa familia ya kawaida ulipe maji, umeme, nyumba / chumba, nauli ya kwako na familia yako, mavazi, extended families...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.