Watanzania wengi ni mazombii akiwemo mtoa mada!!
Unataka polepole anyamazishwe ili nchi ibaki gizani au?
Wenye akili tunataka ccm itibuane ili hatimaye maovu yao yafahamike kwa wananchi, na taifa litambue baya na jema..
Sasa inatusaidia nini wananchi? Rais kama Rais unaogopa kutaja makundi hayo ili yafahamike? Sasa lawama za nn kama unawahifadhi na kuwaogopa?
JPM alikua jembe
Kwanza kabisa tuanze na kitabu chenyewe chenye kueleza habar hizo, Biblia, kama wew ni mfatliaji mzur wa bible na ukristo kiujumla utaona kuwa Biblia hii au hizi tunazozitumia leo zimewekwa kwenye mfumo rasmi(kitabu) Mwaka 325 katika mkutano wa kwanza wa nikaea(nicaea council) chini ya utawala...
Mtoa mada asante kwa kuliona hilo, mm ni shabiki wa Chadema lkn mwenyewe nimeshastukia mchezo!
Hisia zangu zinanipeleka mbari sana kuwa hawa watu ni watu wa JK,kama sio watu wa CCM, sisi tunakua brainwashed tu!!
Hakukua na matatizo kipind anapokea wizara.. Tangu ameingia tu ndo maji yamepungua, ndo service ya mitambo, ndo mazingira yameharibika...!!
Inaonekana ana gundu sasa
Wanataka kutuletea ujinga hao wahuni!!
Asema Tanzania haina crane ya kubeba tanni 30??had zitoke nje?? Si wachukue crane mbili za kubeba tanni 15 each!!
Huu mpango ni wa kufelisha SGR
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.