kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,100
- 15,940
Aliposema biashara ya majenereta iwe mwisho na akata kuona mabwawa yote yawe yamejaa maji iwe kiangazi au mvua iwe kipindi cha ukame ,
yote yalitekelezeka ndani ya wiki mpaka siku anafariki mabwawa yote yalikuwa full na ziada ilikuwa inasubiri na wenye mifugo waliendelea kunywesha na bwawa la nyerere lilitegemewa kujazwa maji.
Leo cha kusikitisha ngonjera zimekuwa nyingi na shughuli zisizo na lazima eti waziri anatembelea nyumba kwa nyumba kuangalia maji kama yanatoka,yule mchina aliyechepusha yupo mahabusu gani tukamtembelee au ndio kaole sanaa group.
Yule mwingine eti yupo bize kwenye vyanzo vya umeme wa maji yaani kutuzuga, tusitafute wahujumu uchumi zaidi ya hawa mawaziri wawili Aweso na Makamba yaani wamegeuka wababaishaji wakubwa sana.
JPM alitumia dawa gani dhidi ya hawa wahujumu?
Na mama anashindwa.
Angalizo 2025 haipo mbali hatutosita kuchukua hatua kali!
Tafadhwali mjitathimini Makamba na Aweso kama mnatosha sio blah blah za kisiasa!
yote yalitekelezeka ndani ya wiki mpaka siku anafariki mabwawa yote yalikuwa full na ziada ilikuwa inasubiri na wenye mifugo waliendelea kunywesha na bwawa la nyerere lilitegemewa kujazwa maji.
Leo cha kusikitisha ngonjera zimekuwa nyingi na shughuli zisizo na lazima eti waziri anatembelea nyumba kwa nyumba kuangalia maji kama yanatoka,yule mchina aliyechepusha yupo mahabusu gani tukamtembelee au ndio kaole sanaa group.
Yule mwingine eti yupo bize kwenye vyanzo vya umeme wa maji yaani kutuzuga, tusitafute wahujumu uchumi zaidi ya hawa mawaziri wawili Aweso na Makamba yaani wamegeuka wababaishaji wakubwa sana.
JPM alitumia dawa gani dhidi ya hawa wahujumu?
Na mama anashindwa.
Angalizo 2025 haipo mbali hatutosita kuchukua hatua kali!
Tafadhwali mjitathimini Makamba na Aweso kama mnatosha sio blah blah za kisiasa!