Mtu anaye discuss kabila la mwenzake ni mufirisi wa mawazo! ni bure! mtu huzaliwa huru, na hachagui azaliwe kabila gani, hayo ni mapenzi ya Mungu! Kabila ni zawadi ya Mungu, mtu mwingine, kama watoa maoni hapa, kuzungumzia ukabila na kushambulia watu kwa kabila lao, ni mfirisi, hovyo, na wana...