Recent content by rundugai

  1. R

    Prof. Ibrahim Lipumba atangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa CUF Taifa

    Wana JF Nimestushwa kidogo na taarifa ya Prof.Ibrahim Lipumba Kujiuzulu Uenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF) haaswa ikizingatiwa ni ameshiriki toka mwanzo katika kumtafuta Mgombea wa Urais atakaye beba bendera ya UKAWA(Umoja wa Katiba ya Wananchi) leo hii anakimbia ? Maswali ni mengi lakini...
  2. R

    Ufipa: Heaven on Earth

    Shonza ! Tunajua kwanini umepiga yowe kwa andiko lako hilo Viti Maalumu vitapunguzwa sana na vinaweza visiwepo kutokana na mtakavyopotezwa octoba mwaka huu. Hivyo lazima uanze kulia lia kwani ulichofuata mara kimeyeyuka.acha kupiga mayowe wenye uwezo na kuzichanga karata wamezichanga natumaini...
  3. R

    Freema Mbowe ni Mtoto wa mjini, true hustler...

    huyo ndio kaka Mbowe
  4. R

    Mapigo matatu kwa Zitto Zuberi Kabwe, Bado pigo moja yatimie

    Kumbe anatakiwa atubu pia Kiongozi Mkuu kimemuuma sana kumkosa Lowasa
  5. R

    Ujio wa Lowassa CHADEMA: Kuna kundi wamesusa, wanapanga kurejea CCM!

    wa kususa asuse kwani ujio huu ni hazina kwa chama kama chama kitaongeza idadi ya madiwani ,wabunge na hata kuweza kukamata dola hivyo ni lazima watu kama Lowasa waje na bado tunaomba wengi waje
  6. R

    Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

    Hongereni sana wana arusha
Back
Top Bottom