Recent content by rula

  1. rula

    Meek Mill adai hamjui Harmonize kama ni msanii

    My point ni kwamba hata yr harmonize kuna watu hawajui na wanafanya poa tuu
  2. rula

    Meek Mill adai hamjui Harmonize kama ni msanii

    Hata harmonize hajui kwamba huku Rukwa mimi ni msanii mkubwa
  3. rula

    Naomba kujua utaratibu (mila) ya kabila la Wamanyema

    Wakirudi nyumbani kwao hutafutiwa watu wa kufanya nao mapenzi, watoto wote hawawezi kuwa wako, lazima tuu watafute mmoja wa kimanyema na ukishangaa shangaa watoto wote wanakuwa ni wa watu wa kabila lao
  4. rula

    Nimebaini mke wangu amezaa nje ya ndoa na amekiri, naombeni ushauri

    We unabonyezwa na mwigulu nchemba
  5. rula

    Kwa masikitiko makubwa, mwandani wangu ananisaliti na wanaume zaidi ya wa 5

    I can feel the pain ya mwamba, umeona utulie na usiwe na kinyongo nae wala kuwa na npango wa kumdhuru. watu wengine wanaweza wakahisi ni ukomavu kumbe ni kwamba you might be so weak inside kwamba you can't do anything kwake Hii inaweza ikawa inachagizwa na either unampenda sana, umemzoea sana...
  6. rula

    Kipi kinauma zaidi kati ya kulea mtoto asiye wako au kunyang'anywa mtoto

    Habari za wakati huu ndugu na marafiki katika jukwaa la MMU Kuna hiki kitu huwa kinanipa wakati mgumu sana kila nikikaa na kutafakari. Binafsi mimi ni kijana middle of twenties na bado sijabahatika kupata mtoto kutokana na mazingira ambayo labda yanatokea ukiachilia mbali kwamba bado sijaoa...
  7. rula

    Kuna mambo hutokea katika Uhusiano ujue mwenzi wako ni mtu wa namna gani. Huyu wangu nimegundua hana akili

    Me nilikutana na mburukenge moja ile haina akili kabisa, Alikua anaishi kwa dada yake na alikuwa anataka kupanga, akawa ananiletea bajeti zake za kipuuzi sjui kodi mara kitanda na jiko la gesi. Sasa nikawa namuelekeza kuwa kwa saiv sina hela kwa sababu hela nimeitumia kwenye baadhi ya masuala...
  8. rula

    Sex tips muhimu (si za kupuuza)

    Shaving pia ni kitu cha msingi sio unakuta mtu ana minywele kwene kwapa sjui sehem nyeti, sjui kama kuna mtu anapenda hii kitu
  9. rula

    Wapiga punyeto mkitaka msipungue nguvu za kiume fanyeni hiki

    Watu wana ushauri humu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  10. rula

    Mwanamke anamjua vipi aliyempa mimba ikiwa alitembea na wanaume watatu kwa wakati mmoja?

    Mbona wanawake wenyewe wanajua kbs kuwa yule mwenye uelekeo ndo mimba yake
  11. rula

    Ni jambo gani la fedheha/aibu ulishawahi kukutwa ukifanya ama na mtu mnayeheshimia sana au mtu yoyote?

    Ulikua umejizatiti kutokwenda shule na mikakati madhubuti kwel kweli
  12. rula

    Ni jambo gani la fedheha/aibu ulishawahi kukutwa ukifanya ama na mtu mnayeheshimia sana au mtu yoyote?

    [emoji23][emoji23][emoji23] ulizingua sana mzee yan ukajaribisha kabisa
  13. rula

    Ni jambo gani la fedheha/aibu ulishawahi kukutwa ukifanya ama na mtu mnayeheshimia sana au mtu yoyote?

    Hamna mtu anawaza kuwa kuna mtu anaeza tokea af pia bekitatu alikua anapika
  14. rula

    Ni jambo gani la fedheha/aibu ulishawahi kukutwa ukifanya ama na mtu mnayeheshimia sana au mtu yoyote?

    Kuna mambo mengine ukiwa unayafanya ni ya kawaida tuu ila ukikutwa unafanya yanakuwa siyo ya kawaida. Binafsi mimi nilikutwa na mshua nikimbandua housegirl jikoni. Baada ya kumaliza shahada yangu ya kwanza nilirudi maskani kwa ajili ya kujipanga kivingine baada ya kumaliza shule. Sasa kuna...
Back
Top Bottom