si rahisi kujibiwa maana ni wazi wewe uko upande gani tunahitaji tume ijibu maswali yanayohusu uchaguzi pasipo kubeza au kisifia mtu yeyote isipokuwa haki za wapiga kura ambazo nazo haki ya mmoja isipuuze ya mwingine.
alichosema slaa hata kama si kweli kwa mwenye busara kimeingia akilini kwani kwa hawa maaskofu waliojibu wanaonekana kuwa karibu na lowasa muda fulani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.