Hiyo ni kawaida kwa jamii ya wakurya na wahaya, Kuna spelling fulani tumeathiriwa na lugha yetu mama. Wahaya H na R na ng'o ni Kisanga. Hata akitamka maneno yanayohusiana na hizo herufi lazima arejeshe mfumo mzima wa herufi kwenye akili kwanza ndio atamke.
Bashungwa ni Mnyambo, wanyambo wa hali ya chini watampa kura na ndo wengi. Lakini wanaojitambua hawawezi mpa kura sababu Wanasema pamoja na kushika nafasi nyingi za uwaziri ikiwemo ujenzi na Tamisemi ila ameshindwa hata kushawishi barabara ya Omurushaka to Benako ijengwe kwa kiwango cha lami.
Huo uwezo mnao kweli?, JPM alimtisha Niwomugizi kiongozi wa Jimbo katoliki la Lurenge, mwisho wa siku aliomba poo tena akasema ndiwe utakayenizika na kweli akamzika. Muache kujifurahisha kwenye vitu ambavyo hamna huwezo navyo.
Hao viongozi waandamizi wa chama na serikali ni watiifu kwa hao...
Hapo korogwe jau kweli yaani, hapo ndo kwao na marehem Kijazi, ndo kwa Merry Chatanda, kwa Mufti Zuberi na wengine wengi maarufu ila hata project ya maji tu wameshindwa. Maji yanaweza kata hadi wiki tatu
Ndo wilaya iliyo bahatika kupata viongozi wachapa kazi mfano Robert Gabriel, Mrisho Gambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.