Ulimwengu ni mzee msanii tu.
Anaenda na upepo.
Ataje hao waliobambikiwa tuwajue.
Nchi hii ukipeleka wapigaji fedha serikali mahakamani ni shida tu...Jajiz,hakimuz,advocates-rushwa.
Serikali kama hii ya Samia ikienda kwa kulialia na sifa za akina Ulimwengu itavuna mabua.
Tutarudi kulekule kwa...
Watanzania mdomo mdomo tu.
Tulirogwa na nani?
Mfanyakazi akiiba serikali tunamsifia.
Mitaani anasifiwa kweli..Oooh jamaa mkali.
Akipigwa chini-anaonewa afikishwe kwenye vyombo vya sheria.
Akifikishwa mahakamani-atoa fedha-huru.
Huduma za jamii-duni!
Jamii ya K-Tz itaendelea kuwa na huduma duni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.