abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,292
Habar Wana harakat wa jamiforums naomba nitangulize kuomba Radhi kama nitawakwaza kwa ichi nacho taka kuandika
Habar sasaiv Juu ya corona Dunian ipo ila sio kama Ile Ya India sasaiv kila Mmoja anajua kua India mambo sio Mazur mpaka kufikia Baadhi ya Mataifa kuzifungia Ndege za India na Abilia kutoka India kuingia kwenye nchi zao
Je vip sisi. Au tunasubir Mpaka corona Mpya kuingia kutoka India kutua Tanzania ndio Tushtuke na Kuanza kuchukua Hatua.
Mnakumbuka corona Toleo la Kwanza wahind walitupiga Ban?
Mimi Binafs naona nibora tuchukue Hatua Mapema
Habar sasaiv Juu ya corona Dunian ipo ila sio kama Ile Ya India sasaiv kila Mmoja anajua kua India mambo sio Mazur mpaka kufikia Baadhi ya Mataifa kuzifungia Ndege za India na Abilia kutoka India kuingia kwenye nchi zao
Je vip sisi. Au tunasubir Mpaka corona Mpya kuingia kutoka India kutua Tanzania ndio Tushtuke na Kuanza kuchukua Hatua.
Mnakumbuka corona Toleo la Kwanza wahind walitupiga Ban?
Mimi Binafs naona nibora tuchukue Hatua Mapema