Write your reply...Gwamaka njobelo, huyu jamaa mi nimepiga naye primary 2005 dom town.jamaa alikuwa mpole sana..bt ni genius hatali..toka tuko madarasa ya mwanzoni mpk darasa la saba G alikuwa anashika nafac ya pili au ya kwanza..then kulikuwa na Ramadhani Suka uyuu ndo alikuwa anaongoza mara...
Write your reply...ingawa ni mda umepita toka hi stor imepostiwa lakini Gwamaka alikuwa ni very Genius kinoma..mi nimesoma naye primary tukamaliza mwaka 2005 alikuwa anatuongozea..pia hata kwenye mashindano ya mashule...ilikuwa inajulikanika shule yetu ilikuwa na watu watatu hatali na yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.