siyo Lowasa, Dovutwa, Magufuli, wala Mgwira aliye na uhakika wa kushinda. Wananchi watanzania ndio waamuzi. Sasa huo uhakika wa ushindi wa upande mmoja unaouongelea umeupata wapi? kura yako moja ndo inakuonyesha maamuzi ya watanzania wote? Usifanye watu waamini kuwa ushindi ni mezani na wala si...