Recent content by Rufiji

  1. Rufiji

    Wimbo wa Taifa ufanyiwe marekebisho

    Huu wimbo Nyerere alikopi one to one toka Nkosi Sikeleli wa ANC. Wakati umefika wa kuubadili…
  2. Rufiji

    Nimeona clip ya Mtanzania mwenzetu Joshua Mollel anauawa na Hamas. Inatia hasira kuona tulipiga kura kuwaunga mkono

    Serikali ya Tanzania lazima ilaani kitendo ambacho HAMAS wamekifanya…
  3. Rufiji

    Nimeona clip ya Mtanzania mwenzetu Joshua Mollel anauawa na Hamas. Inatia hasira kuona tulipiga kura kuwaunga mkono

    Wengi wanaona sawa kwa kuwa kijana aliyeuwawa ni Mkristo. Hawa ni wapumbavu waliojaa udini.
  4. Rufiji

    Nimeona clip ya Mtanzania mwenzetu Joshua Mollel anauawa na Hamas. Inatia hasira kuona tulipiga kura kuwaunga mkono

    Wewe hauons video hiyo, acheni ujinga wa kutetea uovu. Hawa HAMAS ni wanyama wacha Israel wawamalize. I have zero sympathy for these mofos.
  5. Rufiji

    Nimeona clip ya Mtanzania mwenzetu Joshua Mollel anauawa na Hamas. Inatia hasira kuona tulipiga kura kuwaunga mkono

    Siwezi kumuunga mkono mtu anayemuona mtu mweusi kama ni mnyama.
  6. Rufiji

    Mdude: Ukiacha ukatili wake lakini Magufuli alikuwa ni Mzalendo. Kwanini wakati wa Utawala wake Umeme ulikuwa haukatiki?

    Kwa hiyo kwa akili yako ndogo unadhani hiyo Kinyerezi ilianza kujengwa lini?
  7. Rufiji

    Aliyemuelewa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar atusaidie na sisi kuelewa

    Kwa nini anaongelea Tanzania? Yeye mazingira ya Zanzibar…
  8. Rufiji

    Chuki dhidi ya January Makamba inatoka wapi?

    Watu kila siku wako gizani unategemea waseme nini? Aliingia Wizarani kwa kudanganya umma kuwa wenzake hawakufanya msintenance kwa miaka mitano. Ni kiongozi mmoja wa hovyo sana.
  9. Rufiji

    Rais Samia tulikuonya kuhusu January Makamba

    Wizara ya TANESCO imemshinda halafu ndio apewe nchi? Nyinyi watu mna skili kweli?
  10. Rufiji

    Nguzo za umeme za zege sasa ni hatari kwa maisha kuweni makini msikae karibu

    Wanasema sio nguzo ya TANESCO. Kuna mtu mwenye picha?
Back
Top Bottom