Meli yenye bendera ya Tanzania imelipuliwa na Jeshi la Russia huko kwenye Bahari Nyeusi.
Russia wanadai meli hiyoilikuwa inatumika kusaidia Ukraine.
Ni vizuri serikali yetu ikatoa majibu ya kina kuhusu ili tukio.
Hasa ukizingatia ya kuwa tuna mahusiano mazuri na Russia na juzi tuu viongozi...
Asante sana kwa kuliongelea ili! Tena ukienda Zanzibar hali ni mbaya zaidi. Matusi imrkuwa sehemu ya msisha yao ingawaje wanajinasibu kama washika dini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.