Recent content by Rufiji

  1. Rufiji

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: Tusikubali Taifa letu kuchezewa na kuingizwa kwenye mambo yasiyofaa

    Huyu lofa anaenda kuwafundisha Wachagga jinsi ya kutafuta pesa?
  2. Rufiji

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi na genge lake ni Wana mapinduzi waliobobea. Wanachofanya sasa ni Character assassination na kuchochea vijana

    Wapumbavu ni nyie mnaotumia platfotm ambayo mmeifungia kufanya kazi ndani ya Tanzania.
  3. Rufiji

    JamiiForums Tanzania Watu wa pwani na matusi ni mgonjwa wa macho na miwani.

    Asante sana kwa kuliongelea ili! Tena ukienda Zanzibar hali ni mbaya zaidi. Matusi imrkuwa sehemu ya msisha yao ingawaje wanajinasibu kama washika dini.
  4. Rufiji

    JamiiForums Tanzania CCM Haiwezi Kulala: Rais Ashuka Shina

    Damu sa Watanganyika zinamlilia huyu Samuya.
  5. Rufiji

    JamiiForums Tanzania Rais Ruto kukwepa kuhutubia kwa Kiswahili bunge la Tanzania, inatukumbusha kama nchi kuacha kukumbatia KISWAHILI

    Kwani Kiswahili ni lugha ya asili ya kila Mtanzania? Wengine tumejifunzia shuleni kama tulivyojifunza Kiingereza.
  6. Rufiji

    JamiiForums Tanzania CHADEMA mkisusa uchaguzi Sisi Twala

    Mmelighsrimu taifa mabilioni na mbaya zaidi maelfu wamekufa! Historia itawahukumu kwa uovu wenu.
  7. Rufiji

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mambo muhimu ambayo Tume ya Uchunguzi ya Jaji Chande imeyapuuza

    Sio kweli…
  8. Rufiji

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mambo muhimu ambayo Tume ya Uchunguzi ya Jaji Chande imeyapuuza

    Hivi Kilimanjaro kulikuwa hakuna machafuko na watu kuuliwa? Manake ripoti ya Chande inaonyesha hivyo…
  9. Rufiji

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Pamoja na kuwa na uwezekano wa watu Kutolewa Kafara, Naikataa Ripoti ya Chande

    Hivi hii tume ilimuhoji Samia?
  10. Rufiji

    JamiiForums Tanzania TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Kifo ni kifo tuu, msituletee taharuki!
  11. Rufiji

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tanzania yakubali Masharti ya Commonwealth kuleta Wachunguzi Huru wa Matukio ya Uchaguzi 2025

    Ni issue gani zilikuwa raised by CMAG? Nadhani tungeazia hapo kwanza…
  12. Rufiji

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tanzania yakubali Masharti ya Commonwealth kuleta Wachunguzi Huru wa Matukio ya Uchaguzi 2025

    Ni wazi kuwa kuna kupishana lugha na huyo special envoy anakuja kufanya tathmini yake binafsi. Na akija hawataweza kum-contain ataongea na watu wa kada mbalimbali na hata wahanga wa hiyo Oct 29… Hii sio news nzuri kwa serikali!
  13. Rufiji

    JamiiForums Tanzania Watanganyika wengi hawapendi Muungano Tena. Bila Muungano, wanasema, Watanganyika wasingeuawa kwa namna hii ya kutisha

    Yaani wewe ni mwanasheria wa hovyo na usiye jitambua. Haki ya kujadili ni ya kikatiba na haijaletwa na Samuya…
  14. Rufiji

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Samia hajatambuliwa kama Rais aliyechaguliwa na wananchi, wenzie waliochaguliwa na wananchi wametambuliwa kwenye mkutano wa AU

    Tofautisha kiingereza cha kusoma karatasi na cha kuongea.
Back
Top Bottom