Recent content by rude Boi

  1. R

    Kwa usalama wa Urafiki/Undugu wenu usimkopese mtu pesa, watu wamekuwa wahuni sana

    Mpe hiyo 30000 au 50000 mwambie nakudai, we kaa kimya,hatakulipa na hatakuja kukuomba tena hela maana atajua bado anadaiwa.Ukimwambia sikudai atarudi tena maana atajua unazo.
  2. R

    Ulevi Unaninyima Amani. Ninaomba Msaada wenu

    Pole sana.Mungu akupe hitaji la moyo wako.
  3. R

    Wazazi wenzangu, huwa mnawafanyaje watoto wanaozira kula?

    Mimi huwa ninawaambia watoto wangu"ukisusa kula mchana na usiku ususe na kesho yake ususe milo yote" hajawahi kutokea na wala hakutatokea mtoto kususu chakula kwenye familia yangu.
  4. R

    Kujiendeleza kielimu au kufanya biashara? Lengo ni kujikwamua kiuchumi

    Nenda kasome kwanza ili ukijaanzisha biashara uwe umesettle kimawazo.
  5. R

    Ni halali kutuma pesa za matumizi kwa mama wakati mke wangu yupo kwake?

    Wanawake wengi hawapendi kukaa na mama mkwe kwasababu wanakosa freedom. Suala la kutuma pesa mimi ninafikiri anayepaswa kutumiwa pesa ya matumizi ni yule anayehusika kununua mahitaji ya nyumbani kama vyakula,sabuni n.k
  6. R

    Najuta kuoa huyu mwanamke! Kununua, kususa na ujeuri juu

    Hapo ndioo ulipokosea mkuu,usioe au kuolewa ukitegemea mtu atabadilika.Oa au olewa kama mapungufu aliyonayo yanavumilika.
  7. R

    KKKT mbona roman catholic hawaangaiki na hao wa mafuta mahubiri yenu kila siku vs mafuta si nanyie muanze uza mafuta?

    Wanaweweseka kisa waumini wanapeleka sadaka kwa mitume na manabii.Hicho ndicho chanzo cha makasiriko ya wachungaji na mapadri.
  8. R

    Mke wangu kanipa wakati mgumu

    Ulimfuatilia wa nini kama huwezi kumuacha? Mna watoto na kila mtoto anamaisha yake,utawapa funzo gani wanao endapo watakuja kuomba ushauri au kusuluhishwa kwenye ndoa zao? You are too old to break your marriage and you are old enough to solve your family conflicts yourselves.
  9. R

    Zipi ni alama za kuwa umefanikiwa kimaisha?

    Kama nilikuwa nina nyumba ya tope iliyoezekwa kwa nyasi nikajenga nyumba ya tofali na kuezeka kwa bati, nikala vizuri pamoja na familia yangu, watoto wangu wakasoma bila kukosa ada tayari nimewin!
  10. R

    Mwanangu anashindwa kutumia common sense?? Hii ni shida gani?

    Mbali na yeye unaishi na akina nani hapo nyumbani?
  11. R

    Mpuuzieni Christina Shusho, anatumika na shetani kuiaminisha jamii kuwa zinaa ni bora kuliko ndoa

    Ndoa zina siri nyingi na kitanda usichokilalia hujui kunguni wake.
  12. R

    Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

    Basi utakuwa na cheo kikubwa kazini kwako au una maendeleo makubwa kiuchumi maana watu wengi kua na maendeleo makubwa ni sawa na ukubwa wa umri.Ukiwa mwanaume utaitwa mzee hata kama ni kijana,ukiwa mwanamke utaitwa mama hata kama ni dada simply because umeolewa na mtu mwenye pesa au ni boss...
  13. R

    Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

    Inawezekana ulitumia dawa fulani kwa ajili ya ngozi, chunus bila maelekezo ya Dr ikakukomaza uso au kukuletea makunyanzi usoni.
Back
Top Bottom