Ofisi za halmashauri ya Jiji la Dodoma zijengwe upya ndani na nje ziwe nzuri mfano wa hii picha.
Barabara zake ndani ya fensi ziwe za lami na mazingira yake yawe mazuri.
Hakuna mtu wa ovyo bali wa ovyo ni Shetani. Hapo wewe ulitakiwa umsaidie mwenzako mawazo kwamba naomba unisaidie bure kwa sababu ya dharura niliyonayo angekusaidia.
Kuwa mtulivu kunaenda sambamba na kutatua makosa.
Kuna wakati unatakiwa uwe mkali ili utatue makosa Kwa sababu waliokukosea watataka kupambana na wewe ili washinde.
Kwahiyo ili uwashinde unatakiwa wakati mwingine uwe mkali Kwa sababu wewe ndiwe uliyekosewa. Siku zote kwenye kanuni za maisha...
Zaka ni fungu la kumi la mapato yako.
Sadaka ni fungu la kumi la mapato yako.
Jumla 20/100
Zaka ni 1/10.
Sadaka 1/10.
Jumla 2/10.
Zaka ni 10/100.
Sadaka ni 10/100.
Jumla 20/100.
Mfano umepata laki Moja, Zaka na Sadaka Jumla ni 20,000.
Wewe utabakiwa na 80,000 mkononi Kwa ajili ya matumizi...
Zaka na Sadaka(dhabihu) ni ibada Kwa YESU na siyo hiyari.
Kutorejesha ni kuiba.
Malaki 3:8 Je! Mwanadamu atamwibia Mungu? Lakini ninyi mnaniibia mimi. Lakini ninyi mwasema, Tumekuibia kwa namna gani? Mmeniibia zaka na dhabihu.
Malaki 3:9 Ninyi mmelaaniwa kwa laana; maana mnaniibia mimi, naam...
Mungu ambayo inaanza Kwa herufi kubwa ni Muumbaji wa mbingu na Dunia au Kwa lugha nyingine Mungu inayoanza Kwa herufi kubwa ni YESU KRISTO Mwenyewe. Kwa lugha nyingine anajulikana kama YEHOVA.
Kutoka 6:2 Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni YEHOVA;
Kutoka 6:3 nami nilimtokea...
Kumbukumbu la Torati 6:4 Sikiza, Ee Israeli; BWANA, Mungu wetu, BWANA ndiye mmoja.
1 Yohana 5:8 Kwa maana wako watatu washuhudiao [mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu, na watatu hawa ni umoja.
Utatu Mtakatifu ni Mungu Mmoja katika Nafsi Tatu. Hatuna Mungu Watatu. Tuna Mungu Mmoja...
Msongo ni Kwa sababu Jambo ulilonalo halijapata ufumbuzi likipata ufumbuzi msongo unaisha.
Namna ya kutatua Jambo linalokupa msongo ni kulikabidhi Kwa Yesu Kwa njia ya maombi. Utapata ufumbuzi.
Pia tumia panadol na vitunguu saumu vya asilia na tangawizi. Ili kuifanya akili itulie. Akili...
Zak ni 10% na Sadaka ni 10% = 20%
20/100 × 50000 = 10,000 Zaka na Sadaka Jumla.
Zaka na Sadaka ni Kwa ajili ya kueneza Injili na Kwa ajili ya Watoainjili. Inatolewa kanisani au Kwa utaratibu mwingine uliotolewa na kanisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.