Recent content by RTI

  1. RTI

    PENTAGON: Houth wamelipua meli ya Denmark

    Kwasababu papa karuhusu.
  2. RTI

    PENTAGON: Houth wamelipua meli ya Denmark

    Israel ni wakristo wenzio?
  3. RTI

    PENTAGON: Houth wamelipua meli ya Denmark

    Unadhani kila mtu ni wakupiga eti? Wengine ukiwapiga wenyewe wanakufira kabisa.
  4. RTI

    Israel mambo yamewafika hapa. Watishia kuipiga Lebanon kama dunia itashindwa kuwaondoa Hizbullah mpakani. Je, wataweza?

    Bora ukaendelea kukaa kimia maana siku zinavyo enda ndio unazidi kudhihirisha kuwa ww ni mtupu kama kopo kichwani. Netanyau baada ya vita kuanza aliteua baraza la vita na jukumu la baraza hilo ni kusimamia vita inayo endelea gaza hivyo waziri ana maamuzi ya moja kwa moja juu ya vita hiyo maana...
  5. RTI

    Nchi za Afrika zinajidhalilisha sana, kulikuwa na haja gani Afrika Kusini kuishtaki Israel mahakama ya ICJ?

    Umeulizwa swali rahisi lakini unarukaruka kama umekatwa kicha.
  6. RTI

    Unaweza kukuta Hamas wakipewa Zana za Kisasa Wana Nguvu kuliko Russia au China!

    Una uhakika Tz haina roketi? Hizo roketi wanatengeneza wenyewe kwa kutumia mabomba ya maji.
  7. RTI

    Baba mwenye nyumba hataki nifanye biashara ya pombe kali

    Mkuu mm naongelea uhalisia ww unaongelea mambo ya nadharia hapa. Alafu kesi za kudai fidia sio rahisi kiasi hicho kama unavyo jaribu kutuaminisha. Huyo mzee kama ni mtu mwenye pesa kumzidi huyo jamaa hakuna kitu atamfanya na kuhama atahama tu. Ndio maana nikasema asikuze mambo arudushiwe...
  8. RTI

    Unaweza kukuta Hamas wakipewa Zana za Kisasa Wana Nguvu kuliko Russia au China!

    Zitaje hizo silaha alizo nazo Hamas alafu Tz hana .
  9. RTI

    Unaweza kukuta Hamas wakipewa Zana za Kisasa Wana Nguvu kuliko Russia au China!

    Zitaje hizi zana za kisasa ambazo wamesha tumia hamas mpaka sasa. Silaha kubwa ya Hamas kwenye vita hii ni ant tank tu ambayo na yenyewe ametengeneza mwenyewe.
  10. RTI

    Israel mambo yamewafika hapa. Watishia kuipiga Lebanon kama dunia itashindwa kuwaondoa Hizbullah mpakani. Je, wataweza?

    Ww jamaa kumbe hata sio mfuatiriaji wa habari zinazo endelea duniani ndio maana unaongoza kuandika mashudu humu, aliye toa tishio la kutumia nyukilia ni mojawapo ya mawaziri wanao unda baraza la vita lililo undwa na Netanyau sasa kama ww hujui basi inabidi tukushangae uko dunia gani kwa sababu...
  11. RTI

    Baba mwenye nyumba hataki nifanye biashara ya pombe kali

    Hakuna sehemu yeyote niliyo mtisha ila nimemkumbusha hali halisi ya nchi yetu, kwani haki ngapi za watu zinazurumiwa na hao wanasheria wamejaa mitaani? Yeye kama mzee anakubali kukurudishia hela ya pango sioni haja ya kukuza mambo masuala ya muda ahesabu tu kama hasara tu kwenye biashara...
  12. RTI

    Baba mwenye nyumba hataki nifanye biashara ya pombe kali

    Ww jamaa mbona unachukilia mambo kirahisi rahisi ? Kumbuka hii ni bongo na bongo mambo mengi huwa yanaenda kijanja janja na kujuana kwingi huwezi jua huyo mzee anajiamini nn. Jamaa achukue hela yake ya pango na matengenezo aliyo yafanya asepe kwani nyumba ni hiyo tu? Mm ninacho kiona hapa ww...
  13. RTI

    China ana safari kubwa sana mpaka kuipita Marekani kiuchumi

    Hivi unajua miaka ya 90 ni gepu gani la kiuchumi lililo kuwepo kati ya Chama na Marekani?
  14. RTI

    Nchi za Afrika zinajidhalilisha sana, kulikuwa na haja gani Afrika Kusini kuishtaki Israel mahakama ya ICJ?

    Ndio maana umeulizwa kwa hiyo ww unaijua s.africa kuliko serikali yake?
Back
Top Bottom