Recent content by Rtackket

  1. R

    January Makamba, Ubunge Umekushinda. Utawezaje Urais?

    January anajinadi kama mwana mageuzi, mwenye mawazo chanya. Ubunge aliupata kwa utata, na hata kwenye ubunge ameshindwa kazi, kwani bumbuli ndio moja ya Majimbo yaliyo nyuma sana kimaendeleo. Je, january anawezaje kujinadi kama Rais mtarajiwa wakati jimbo limemshinda?
  2. R

    Dr. Slaa Delivers Yet Another Outstanding Speech. Calls CCM Tumorous Cancer!

    Keynote Address, PURDUE University April 13, 2015 By Dr. Wilbrod Slaa Over a year and a half ago, I visited Indiana, toured various places, met different state and federal officials, visited various learning institutions and also toured Perdue. At Purdue, I met Dr. Suresh Garimella and other...
  3. R

    Dr. Slaa Continue to Receive Royal Reception in The United States

    Dr. Slaa special reserved packing Space Dr. Slaa his wfe and the Meya of City of Indianapolis Dr. Slaa at a Radio Station discussion political situation in Tanzania Dr. Slaa at the University of Indianapolis discussing potential partnership with administrators of the University Dr. Slaa...
  4. R

    Dr. Slaa arrives in the US, discusses constitution

    Momentarily, Dr. Wil Slaa will be live broadcasted in one of the largest talk Shows in Mid-Western United States.To listen to the talk show live, please follow the link April 14 - Dr. Willibrod Peter Slaa | 93.1 WIBC Dr. Slaa, Will also be giving lectures at Indiana and Butler Universities, as...
  5. R

    Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?

    Wataendelea kuwa mafukara chini ya CCM !
  6. R

    Dr. Wilbrod Slaa ndiye Musa wa Leo, tumpe ridhaa ya kutuongoza kutoka utumwani mwa CCM

    ameonyesha ujasiri, hekima, busara pamoja na upendo kwa taifa lake. Amejitolea maisha yake kwa ajili ya Watanzania kama alivyojitoa Musa dhidi ya uatawala wa Pharao
  7. R

    Dr. Wilbrod Slaa ndiye Musa wa Leo, tumpe ridhaa ya kutuongoza kutoka utumwani mwa CCM

    Niwie radhi, ila sina budi kutamka kwamba watu kama wewe wamelaaniwa. Inawezekanaje wewe pamoja na kundi lako mporomoshe matusi baada ya kushindwa na hoja? Ila sishangai, kwa maana umasikini chini ya utawala wa CCM imewafanya watu wengi wawe vichaa
  8. R

    Dr. Wilbrod Slaa ndiye Musa wa Leo, tumpe ridhaa ya kutuongoza kutoka utumwani mwa CCM

    Mmefika hamna la kusema, kwani hata wenyewe mnajua kwamba huyu ndiye kiongozi atakayetuokoa. Ila tu onyo, msijaribu kuyachezea maisha yake, kama kweli mnapendelea kuwepo na kuendelea kufanya ufisadi. Mtang'olewa kama Ghadafi
  9. R

    Dr. Wilbrod Slaa ndiye Musa wa Leo, tumpe ridhaa ya kutuongoza kutoka utumwani mwa CCM

    Tunakoelekea sidhani kuna mtanzania, anaweza kula pilau akawapa Mashetani kura. Kutokana na njaa waliyonayo watanzania, bora wakala ila kura wakampigia Dr. slaa. Tuungane tusambaze ujumbe kwa ndugu zetu wote. Hadi sasa, ndugu zangu zaidi ya 30 waliokuwa CCM Tayari washakuja kwenye ukombozi wa 2015
  10. R

    The influence of a single individual in the DMV Tanzania community The DMV!

    Asha Nyang'anyi deserves to be in the US jail. She is TISS Agend being told what to do by the embassy !
  11. R

    Urais 2015: Mwigulu, January hoi

    Machozi ya watanzania iwalaani hadi vitukuu vyao. Hawa wana Chama Cha Mashetani kuwashabikia ni sawa na kumshabikia shetani. Wana CCM wote ni ukoo wenye laana. Tunaelekea wokovu wa kweli, na yeyote atakayejaribu kukwamisha wokovu wote, bahari itafunguka na kummeza. Madhambi yao yote...
  12. R

    Dr. Wilbrod Slaa ndiye Musa wa Leo, tumpe ridhaa ya kutuongoza kutoka utumwani mwa CCM

    Katika kila kizazi, Mungu uwatumia watu wake wachache kuwaongoza watu wake kutoka katika matatizo yanayowakabili. Mungu alimtumia Musa kuwaongoza wana wa Israeli kutoka utwamini Misri kuelekea nchi ya ahadi yenye maziwa na asali. Nchi ya Canaan. Mungu alimpa Musa uwezo wa kufanya miujiza...
  13. R

    Kiwanda BUBU cha ‘Kichina’ chabainika Dar; Kinaiingizia hasara TANESCO sababu ya wizi wa UMEME...

    Watanzania inabidi waamke na kuwafukuza wachina. Hawa watu hawafai kabisa.....
  14. R

    Dr. Slaa Receives A State Reception In Alabama Capitol !

    Huyu ndiye mkombomzi wa watanzania. Mungu amlinde
  15. R

    Dr. Slaa Receives A State Reception In Alabama Capitol !

    Akiwa katika ziara yake nchini Marekani Mwaka Jana, Katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbrod Slaa siyo tu kwamba alikuwa kila alikokwenda, bali aliacha historia. Kiongozi huyu mkuu wa upinzani alionyesha kukubalika kwa kiwango kikubwa miongoni mwa viongozi wa ngazi mbali mbali nchini humo. Kutokana...
Back
Top Bottom