Mimi wa ajira mpya April 2014 sijaona mshahara vp kuna wa ajira mpya aliyeingiziwa kwa kua inasemekana mishahara imeingizwa toka hazina haijapitia halmashauri
Mimi ni mwalim wa Secondary nipo Isaka secondary school iliyopo halmashauri ya Msalala-Kahama,Shinyanga maeneo haya huduma zote za umeme, usafiri, mawasiliano, maji, hospital zipo nataka kusogea karibu na nyumbani hivyo mwlim aliye wilaya ya Same-Kilimanjaro au wilaya zilizoko Mkoa wa...
Anaependa kuja Halmashauri ya Msalala-(Kahama,Shinyanga) nipo Shule ya Secondary Isaka' napenda kurudi nyumbani Same-Kilimanjaro.0754033018, 0654495591
Nipo Isaka Secondary halmashauri ya Msalala-(kahama,Shinyanga) huduma za umeme,maji,hospital,usafiri zote zipo ila nataka kurudi nyumbani Same-Kilimanjaro Mwl aliye wiliya ya Same au wilaya yeyoye mkoa wa Kilimanjaro angependa kuja kahama-shinyanga tunawasiliane.0654495591, 0754033018
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.