Recent content by royco

  1. R

    DART majibu vipi?

    Jaman mwenyewe kujua chochote kuhusu zile nafasi za station assistant atujuze mana sielewi zimeishia wapi!
  2. R

    Mwenye taarifa za DART kuita interview

    Naomba unisaidie ya station assistant
  3. R

    Mwenye taarifa za DART kuita interview

    Mwenyewe gazeti atusaidie please!
  4. R

    Mwenye taarifa za DART kuita interview

    Ni sheeeda jaman duuh!
  5. R

    Mwenye taarifa za DART kuita interview

    Sasa walitangaza nafasi za nini kama wanafanya mazoezi inamana ni watu wao, daah, wengine tusio na ndugu tukalime tu!
  6. R

    Natafuta kazi nina diploma ya Human Resources Management na certificate ya Public Adminstration

    Nina diploma ya Human Resources Management na certificate ya Public Adminstration, natafuta kazi yoyote. Msaada tafadhari!
Back
Top Bottom