Wakuu habari zenu,
Naomba mwenye namba ya Speedaf express ya Tanzania anisaidie maana kuna mzigo wangu sijaupata nataka kuwauliza kama uko ofisini kwao.
Natanguliza shukrani.
Habari zenu wapendwa,
Leo nawaletea offer nzuri kabisa.
Nauza Samsung Galaxy J7 PRO kwa bei sawa na bure kabisa.. inahitajika 280,000/= tu.
Naiuza kwa sababu nimepata simu nyingine hivyo hii haina kazi kwa sasa.
Napatikana Dar es salaam.
Njoo Pm kwa mawasiliano au weka namba yako kwenye...
Habari zenu wakuu,
Nahitaji kusafairisha kiroba cha kilo 50 (nguo) kuepeleka OMAN. Nipo Dar, ila kama hiyo kampuni itakua na branch Zanzibar itakua vizuri zaidi.
Mwenye kufahamu naomba anijuze.
Natanguliza shukrani
Habari ya jioni.
Nahitaji mwalimu wa masomo ya Physics na Chemistry (form 5) kwa ajili ya private Tuition.
Muda ni wiki mbili tu.
Kwa siku muda wa kusoma ni masaa 2 tu.
Topics zifuatazo:
PHYSICS
1. Fluid Dynamics
2. Newtons
3. Circular motion
CHEMISTRY
1. Physical Chemistry (sub-topics...
Habari ya jioni.
Nahitaji mwalimu wa masomo ya Physics na Chemistry (form 5) kwa ajili ya private Tuition.
*Muda ni wiki mbili tu.
*Kwa siku muda wa kusoma ni masaa 2 tu.
Topics zifuatazo.
PHYSICS:
1. Fluid Dynamics
2. Newtons
3. Circular motion
CHEMISTRY
1. Physical Chemistry only...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.