Recent content by Rowbie

  1. R

    Government Ban Job Recruitment Agencies!

    kaka hv umesoma vizuri hiyo report.. acha kukurupuka tu.. isome vizuri... nyie ndiyo mna mislead raia.
  2. R

    Mkapa: Wapinzani bado ni wachanga kuwapa Ikulu!

    watanzania sasa tunaboa,. too much negativity kwa ccm,. yani hata ukweli kama huu mnabisha??,. nadhani illiteracy ratio c Tatizo tena:. malezi ndiyo Tatizo..
  3. R

    Enzi zako zimekwisha P FUNK pole sana

    Asante kaka,. Wanataka kusema mensen selekta ndo mkali kuliko p.funk kisa ana tuzo? Au ni maneke mzee wa ku-sample? Mako chali mpiga viduku,. Lamar beat moja.. wanasahau p.funk ndo ameweka foundation ya beat za bongo flavour,. Yeye ndiyo ameidefine bongo flavour,. Yeye ndiyo aliyetengeneza...
  4. R

    Enzi zako zimekwisha P FUNK pole sana

    Mi Naona unajitangaza tu,. Kaka p.funk harekodi watu wasiojua ilimradi tu apate pesa kama. Wafanyavyo mengine. Yeye anachagua wenye vipaji,. Kama huna kipaji hakubebi,. Na kumbuka pia, wenye vipaji kama pig black walirekodiwa Nyimbo hata bure,. Alikutosa kwakuwa hakuona kipya,. Usimlaumu
  5. R

    Clouds fm haijatajwa msiba wa Albert Mangwea

    Acha hizo ww.. we wanakusaidia nn?
  6. R

    HTC legend used inauzwa

    HTC legend used inauzwa charger yake unapewa na usb cable yake.. Bei ni 180000 tu.. contact: 0713628941 Specification zake soma hapa www.gsmarena.com/ htc_legend-3141.php
  7. R

    Clouds fm haijatajwa msiba wa Albert Mangwea

    Mi sikusikiliza ila naamini hao kwa asilimia 99 watakuwa hawakuitaja,. Na aliyewataja &%$#@#&
  8. R

    Clouds fm haijatajwa msiba wa Albert Mangwea

    Kaka kama wametaja basi Poa tu,. Lkn haibadilishi ukwe.. wanyonyaji
  9. R

    Clouds fm haijatajwa msiba wa Albert Mangwea

    Yani hao clouds ni wanajikosha tu,. I wish millard ayo ahamie earadio Maana hapamfai,. Kijana yuko vizuriiiii,. Ila mabosi wao ndo *%$#@!&,. Na ctakaa niwasapot,. Samahani lkn
  10. R

    HTC legend inauzwa

    Dukani ni laki 3 na ushee
  11. R

    HTC legend inauzwa

    HTC legend inauzwa Imetumika kwa muda usiofika miezi miwili,. charger yake unapewa.. Bei ni laki 2 tu.. contact: 0713628941 Specification zake soma hapa www.gsmarena.com/htc_legend-3141.php
Back
Top Bottom