".....Nimesikitika kwa ajili yako, Yonathani, ndugu yangu, Ulikuwa ukinipendeza sana; Upendo wako kwangu ulikuwa wa ajabu, Kupita upendo wa wanawake.
Jinsi mashujaa walivyoanguka, Na silaha za vita zilivyoangamia!"
2 Samweli 1:26-27 (Biblia Takatifu)
Cha muhimu nikuielewa kwanza hii jamii kuwa ipo na changamoto.!
Cha pili , nikuiomba Serekali...itengeneze programa itakayokuwa inatoa semina ama training , zinahusu elimu ya fedha, uwekezaji na maisha baada ya kustaaf angala mara mbili kwa mwaka.
hii itapunguza , hasira ,fitina ,uzushi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.