Recent content by Roshii

  1. R

    Tanzania tupo vizuri kwenye nini kati ya vitu 15 vifuatavyo?

    unmentionable unafiki kutafuta kuonekana
  2. R

    Nakunywa maji lita2.5 kwa siku ila nakojoa 600mls tu

    punguza kunywa maji ya chumvi! Ama punguza chumvi nyingi kweny vyakula
  3. R

    Namna nilivyoona Polisi wakiua Oktoba 29 kuanzia usiku hadi Octoba 30 jioni

    kwa sasa polisi wamejivika- New brand mjini, yote katika yote ....kwa sababu ya njaa, !!
  4. R

    GE2025 Kipi kifuatacho baada ya maandamano ya kumuondoa Samia kufeli

    ".....Nimesikitika kwa ajili yako, Yonathani, ndugu yangu, Ulikuwa ukinipendeza sana; Upendo wako kwangu ulikuwa wa ajabu, Kupita upendo wa wanawake. Jinsi mashujaa walivyoanguka, Na silaha za vita zilivyoangamia!" 2 Samweli 1:26-27 (Biblia Takatifu)
  5. R

    Faiza Ally: Niffer amepigwa sana na amechukuliwa na ‘watu wasiojulikana’

    Kwani nywi nywi wala nywinywi! ndo kosa hasa! alaaaa..!!
  6. R

    Bill counter (machine ya kuhesabia pesa) kutoka Anostore zina changamoto

    Hilo ni scraper, wape watoto wachezee..!
  7. R

    Ualimu ndo kada ambayo waajiriwa wake akipata kesi na kuhukumiwa miaka 3 jela au faini 3m asilimia 90 wataenda jela

    Cha muhimu nikuielewa kwanza hii jamii kuwa ipo na changamoto.! Cha pili , nikuiomba Serekali...itengeneze programa itakayokuwa inatoa semina ama training , zinahusu elimu ya fedha, uwekezaji na maisha baada ya kustaaf angala mara mbili kwa mwaka. hii itapunguza , hasira ,fitina ,uzushi...
  8. R

    Wanaobisha kuwa wahuni hawaja print pesa, tazama hapa

    kwa kweli, sauti ya mama mtoto...lazima anyong'onyee😁
  9. R

    Wanaobisha kuwa wahuni hawaja print pesa, tazama hapa

    Wana-uchumi wako wapi kwann wanaruhusu ili litokee?
  10. R

    GE2025 Tundu Lissu: Kuanzia sasa nakaa gerezani kwasababu ya Tarehe 29, kesi imekwisha hapa

    ..Mbona anangea kama yupo kwake, ama kijiweni.... comfortable kabisaa kama yupo na washkj wake dah
  11. R

    Jeshi la Polisi ndo linapoteza watu? Heche yuko wapi?

    Sina chakusema ngoja , niwemsikilizaji!
Back
Top Bottom