Jamani jamani nashukuru sana mleta Uzi mwenzenu Mimi pia ni muathiriwa sana wa jambo hili na Mara nyingi napiga kelele na kuanzisha vurugu kabisaaa yaani hii tabia imekithiri sana jamani ni mbaya mtu anakung'ang'ania utafikiri mmeagana basi likifunga breki ndo mamaaaa unaweza ukojolewe looooh...
Watu wanaboa sana kitu kama mtu hajaelewa bora akauliza kiuungwana lakini anakutolea maneno ya shombo kwani mtu akipata kazi au akikosa Mimi napata faida gani
Sijaona kigumu hapo cha watu kutokuelewa nimewapa ushauri wa kusoma tangazo zima ujue linataka nini ndipo utume maombi Kingine watu hawaonyeshi kutaka kujua zaidi ya kuleta maneno ya kebehi unatagemea nitawaeleza vipi wasichokielewa labda wewe angalau ukiniuliza nitakujibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.