Maswali mengine bwana!! Kuna watu hata vyombo vya habari huwa hamsikilizi..Suala hili lishazungumziwa sana hadi mitandaoni humu...Kwamba utaacha taarifa zako ulipolala usiku wa kuamkia tarehe 23. Endapo watahitaji kufahamu zaidi utapigiwa simu
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Tatizo mnafuatilia mambo juu juu, hao wanahesabiwa kwenye dodoso la makundi maalumu...Wasiokuwa na makazi maalumu, waliolala stendi, masokoni,lodge, kwenye makambi, watoto wa mtaani. Ambapo kazi ilianza tangu saa 6 usiku kwajili ya makundi hayo
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Tatizo mnafuatilia mambo juu juu...Hao wanahesabiwa kwenye dodoso la makundi maalumu Yaani waliolala stendi, lodge, masokoni, watoto wa mitaani etc Kazi ilianza usiku ya kuhesabu makundi hayo
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Watuache kabisa hao wa Marekani. Tunajiweza, na hatutaki marafiki wanyonyaji. Sasa hivi ni sama za Win win Situation
Wabaki na vibaraka wao akina Tundu Lissu
Na Mwamba wa Kaskazini
Jamaa mmoja aliwahi kuniambia sikia tu kitu inaitwa utawala bora au imba sana kuhusu hiyo kitu lakini ukiwa wewe ndio unatakiwa kutekeleza hapo kwa wengi vumbi kubwa hutimka.
Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT, Zitto Kabwe na Mgombea wake huko Zanzibar Maalim Seif Sharrif...
Haya Ni maigizo ya wamama wa Urambo wa Baraza la wanawake CHADEMA, hiki ndicho walichoamua kukifanya kwa kujitekenya wenyewe na kucheka wenyewe kwa kujiongopea wenyewe huku wakitaka kuwadanganya watanzania .
Nimejaribu kuwaza hivi Kama kweli Urambo kuna tatizo la maji ujasiri wa hawa akinamama...
Yaani Tundu Lissu amepewa adhabu na Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) ya kutofanya kampeni kwa siku 7 kutokana na kukiuka maadili ya uchaguzi halafu anakimbilia kujirekodi malalamiko yake kwa kiingereza ili awatumie waliomtuma kuja kugombea urais kwa sababu hawaelewi kiswahili.
Ndio maana nauliza...
Na Mwamba wa Kaskazini
Tunaweza kukubaliana kuwa kuna viashiria vya awamu ya kwanza ya ampeni za uchaguzi kwa ajili ya Urais wa Jamhuri ya Muungano imekamilika na vyama na wagombea vinajipanga kuendelea tena na awamu nyingine.
Hii ni baada ya kuoneakana wazi kuwa wagombea wa Urais karibu wote...
Nimesikiliza kwa makini hotuba ya mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha NCCR-Mageuzi Bw. Jeremia Mganja akinadi sera zake kwa Wananchi. Hotuba yake inatoa taswira ya tabia za wagombea wa vyama vya upinzani kuwa wamezoea kupotosha jamii. Wamesahau kuwa Watanzania kwa sasa wana uelewa mkubwa wa...
Chadema wanataka kuchukua dola lakini mpaka sasa wameshagombana karibu na kila chombo wanachotaka kwenda kukiongoza.
Polisi hawafai
Mahakama Haifai
Takukuru Haifai
Usalama Haufai
TBC Hawafai
Clouds Hawafai
Uhuru Hawafai
Channel Ten Hawafai
Tume Ya Uchaguzi Haifai
Wakurugenzi Hawafai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.