...katika ufisadi kama richmond,epa,ujangili,uharamia,uwizi wa pesa za umma,upendeleo kwa watoto , familia zao,jamaa zao,ukwepaji kodi....mfano katika wilaya nitokako ya rorya ccm ndo wameshika wanaiba mpaka wanasahau fedha walizonazo.....fedha za vijana,hakina mama,miradi yote ndani...kalenga...