Recent content by Rony fely

  1. R

    Mjadala: Matatizo ya Makocha WA mpira wa miguu Tanzania

    alikua anafundisha KMC U20.
  2. R

    Mjadala: Matatizo ya Makocha WA mpira wa miguu Tanzania

    kama vitu hujui usibishane... huwezi pewa cheti cha ukocha ukapata leseni ya kufundishia kabla hujatimiza vigezo vya ualim. usifikiri izi kozi za makocha ni kama semina tu unaenda unapewa cheti.
  3. R

    Mjadala: Matatizo ya Makocha WA mpira wa miguu Tanzania

    Ali kamwe ana leseni C. alifundisha KMC U20
  4. R

    Mjadala: Matatizo ya Makocha WA mpira wa miguu Tanzania

    usikariri kaka.. kiemba analeseni B ya CAF. 1. mpaka unapewa leseni B ni umefundisha chini ya uangalizi si chini ya miaka 4 mpaka 5. kiemba kafundisha tim tofauti tofauti za vijana na hata za kimashindano ni kwamba haujawahi mfuatilia. tatizo watanzania tunahisi mtu amekuja tu ghafla wakati...
  5. R

    Mjadala: Matatizo ya Makocha WA mpira wa miguu Tanzania

    udibishane na watu wasiojua mpira. mbona wao wamesoma na wana profesion zao ila hawajapambana kwenda kufanya kazi nje, kama ni rahisi mtoa mada nayeye akafanye kazi nje
  6. R

    Mjadala: Matatizo ya Makocha WA mpira wa miguu Tanzania

    mbona timu za vijana za taifa zinaongozwa na makocha wazawa na zinafika hadi kombe la dunia.. sijajua ukisema tactic za kisasa unamaanisha nini, kila tim inafanya ivyo kujiandaa na mpinzan tofauti inakuja kwenye quality ya wachezaji wetu, wanaweza kutimiza majukumu yao ya kifundi vile inatakiwa...
  7. R

    Mjadala: Matatizo ya Makocha WA mpira wa miguu Tanzania

    kutopewa simba na yanga haimaanishi hatuna makocha wazuri, mbona hata hao mnaosema wameendelea kwenye mpira bado tim zao hazina makocha wazawa kwenye timu kubwa.. mfano madrid, barcelona, man city, liverpool, PSG, man U, wote wanamakocha wakigeni
  8. R

    Mjadala: Matatizo ya Makocha WA mpira wa miguu Tanzania

    1. Unauhakika hakuna makocha wa Tanzania wanaofundisha mpira nje ya nchi? 2. kama kwa makocha wetu kuna shida, kwanini makocha wanatoka nje ya nchi kuja kusoma kozi za makocha za hapa kwetu? 3. watanzania huwa tunajichukulia poa sana, hadhi ya makocha wetu kwa sasa ni kubwa ila bado hatuupi...
  9. R

    mutu mupyaaa ndo natoka kwenye nylon

    niadje wana jamii.. nafurahi kuwa katika jamii ya watu makini!!!
  10. R

    maoni ya katiba mpya

    kama cjapata mt mpaka umri uo???
  11. R

    maoni ya katiba mpya

    wakazi wa mbagala na gongolamboto waomba ghala la silaha lijengwe ikulu na wafanyabiashara waomba TRA itaifishwe...
Back
Top Bottom