Wakuu yamenikuta pana binti mmoja jirani yangu kitaa ninachoka aisee tuseme tu nikama dada kanisaidia sana mpaka leo nimefika 21 shule ya msingi kanivusha sana balabala maana alinizidi madarasa 5 sasa kila wiki anaforce kunipa mzigo nikikgomea mara akasilike visa vingi . leo nimechezea kichapo...
wote mnaompinga ndege mpo kwenye mahusiano kwa bahati mbaya nawaona wewe sura mbaya alafu unataka umpate dem sura nzuli akati Mungu kasema utampata wa kufanana nae vumilieni kisa mnapesa mnaoa vyombo mnajikuta kapuya hao wake mtaishia kuwafikisha uvinza sisi wazee wa kukomesha tunawapitisha...
" nina binamu yangu matokeo yake ya kidato cha nne co mazuli kabisa ningependa nimpeleke collage ndogondogo ili apate japo utaalamu wowote ili asije kua mzigo baadae je nimpeleke kozi gani ambayo ataweza kujiajili ata kwa mtaji wa kawaida "
uoni unatuletea uchochezi chief sisi wengine watanzania wazalendo izo # HAPA KAZI TU nakuama kwako chama chenu sisi kunatuhusu nini kua bro ndevu za bure tu " sio kila mzee anabusara kumbe pana wajinga mmezeeka"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.