Swala la Gamond na Yanga ni suala la kisiasa zaid, vilabu vya simba na Yanga vina impact kubwa sana kwenye siasa za nchi yetu, ukijaribu kuangalia kwa wiki kadhaa zilizopita habari na hoja kubwa zilikua ni kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa..
Na Jinsi serikali na Ccm walivoboronga kwenye hilo...
Hapo hakuilenga team, mana basi la wachezaji likiwa linawapeleka kwenye match hutumia escort ya polisi.. Kufika ni faster..
Hapa mashabiki ndo walilengwa zaid, ki jeografia chamazi ni mbali, ila mwenge ni center, kwa mashabiki Uwanja wa Kmc upo karibu zaid kufikiwa na mashabiki tofauti na chamazi..
Huyo mtt amekekaririshwa hakuna anachojua,siasa za ccm hazi saidii nchi yetu,sana sana ni kutengeneza majizi ya kupora rasilimali zetu,na majizi kuja kulindana..
Kwa kinachoitwa ccm chipukizi kwangu mm naona ni watu kutafutia watoto wao maisha.. Na kuja kulinda maslah ya familia zao,badala...
Mimi niliwahi kupiga bao zaid 14 ndani ya masaa 24
Ila mpaka leo sijawah kufika nusu yake.. Miaka saba iliyopita,huyu alikua demu wangu alikua anafanya kazi Arusha kuna kipindi miaka ya nyuma kulikuaga na Bagamoyo marathon, sijui kama zile mbio kama bado zipo..
Mimi nilikua naishi dar so...
Yaani mimi kabisa nikakae nianze kujisemesha kwa rafiki zangu au ndugu zangu eti mwanamke wangu amenisaliti,Niwaambie kina masawe huyu amenisaliti? Aisee kuna vitu vya kuwaambia ndugu lkn si usaliti yaani nikae na ndugu zangu tunajadili ujinga wa mtu? Ode lawe nke isembo indo ndi.. Nke wa...
Habar za humu ..
Moja kwa moja bila kupoteza muda naomba kutoa mrejesho kuhusu mchumba wangu kuonekana na love bite shingoni..
Siku ile naandika hapa nilikua na hasira kali na isiyo elezeka niliazimia kurud dar ili nikamalizane nae kama nilivoandika pale.
Ila baada ya kuleta bandiko langu hapa...
Kwa hiyo kuwa mwanaume ndo uweze kusamehe usaliti?
Mwanaume wa kweli ni yule anaetoa adhabu kali ili iwe fundisho ..
Yaani anisaliti nimuache tu bila kumpa kash kash yoyote? Baada ya hapo wakanicheke na huyo jamaa yake? No mi siwez subir uchapiwe mkeo na ujue ndo utaelewa nachopitia kwa sasa.
Huyo mwanamke mm ndie niliemtafutia hiyo kazi hapo maana nilikua nafanya kazi hapo kabla sijapata kazi serikalini..So staff wenzake wengi nawajaua sabab niliwah fanya kazi nao ..
Kwa taarifa yako mm si mwanaume dhaifu..
Mwanaume ni kichwa
Mwanaume ni mfalme
Mwanaume ni dume la simba
Huezi kunitishia mm siogopi na huna cha kunifanya huezi toa ushauri pita kimya kimya
Unaeza kunitishia kunipiga ww tusichukuliane poa kabisa humu.. mtoto wako tu nyumbani alivunja glass...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.