Recent content by rojazy

  1. R

    Msaada: Nashindwa kulog-in kwenye simu yangu

    Habari wanaJF, Simu yangu nimefanya reset imekubali vizuri tu ila kwenye kipengele cha kulog in na email napata shida na sielewi nifanyaje. Kila email ninayoweka naambiwa (please sign in for using one of the owner account of this device). Naomba msaada wenu, nini kifanyike hapa?
  2. R

    Natafuta kazi- Mbeya

    magari madogo
  3. R

    Natafuta kazi- Mbeya

    habari zenu ndugu naitwa rajabu saidi natafuta kazi kwenye magari nina leseni crass D mwenye uwezo wa kunisaidia 0677010553 mawasiliano yangu
  4. R

    Nafasi za kujitolea JKT 2016 bado?

    Msaada jamani JKT nafasi za kujitolea 2016,utumaji wa maombi umeanza?
  5. R

    Members only

    loooooohhhh mtamu huyooooi
Back
Top Bottom