Riwaya.
Mtunzi: Roisa.
Number: 0694840213.
Sehemu ya 2.
Nikakumbuka wimbo wa lady jaydee na professor Jay ulitamba kipindi hicho unaitwa Bongo dar es Salaam. Ama kweli nilijionea ndani ya siku moja ilitosha kunipa picha kamili juu ya jiji hilo la wajanja.
Asubuhi, nilipanda magari ya...
RIWAYA: MAITI INAYOTEMBEA.
MTUNZI: RONALD
NAMBA YA SIMU: 0694840213.
SEHEMU YA 1.
Jina langu ni Masanja mabula, jina nililopewa na wazazi wangu wangu bwana na bibi mabula kwa kiligha jina langu lina maana ya " Akili zimo", huenda wazazi wangu walikuwa na nia njema ya kuniita hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.