Hata kama una idea huwezi kuwa umekamilika kwa unachowaza kwa asilimia 100 ungeweka hapa pia ungepata ushauri au idea uliyonayo kuna mwengin anaifanyia kazi angekusaidia kuiboresha n hayo tu
Kuanzia majira ya saa 12:01 chopa imeanza kudondosha vipeperusha vya mgombea wa Devis Mosha na kuuzunguka maeneo mbalimbali ya mji tunajiuliza je katika kipindi hiki cha kampeni ile sheria ya kuchafua mji kwa kudondosha chochote hata ka vocha au karatasi au kutema mate Manispaa imeiweka pembeni...
[
ATTACH]283864[/ATTACH]Haya ndo
Maandalizi ya ufumbuzi wa kampeni za mgombea Ubunge Moshi Mjini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Bilionea Devis Mosha katika uwanja wa mashujaa atakuwepo Katibu Mkuu ndugu Kinana,wasanii kibao ikiwemo bendi ya twanga pepeta.
Naamini kwamba taarifa hii itakuwa ni sahihi na itatusaidia wengi..kwa upande wangu nina ndugu yangu ambaye amesumbuliwa kwa muda na vidonda vya tumbo hivyo ntaomba uni PM nipate contact zako kama hutojali ili niweza kuwasiliana na mhusika kupata dawa hiyo..mimi naamini sana katika dawa za asili...
Tatizo ni uzalendo, kwani tatizo la maadili kazini halipo tu kwa wana habari ni karibia sekta zote..kikubwa ni kuwa kujitathimini tumetoka wapi na wapi tunakoelekea..tunayofanya mengi ni kwa ajili ya nafsi zetu pekee au tunalisaidia taifa hilo tu.
hata mim nipo kwenye mchakato wa kujiunga kwenye net-working yao kuwa distributer ila cna udhoefu sana naomba wakongwe au wameshajiunga watuambie zaidi..
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mkoani Kilimanjaro leo kinafanya uchaguzi wake kuwachagua viongozi ngazi ya mkoa akiwemo mwenyekiti wa chama Mkoa ambayo inatetewa na mbunge wa Moshi mjini Philemoni aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo.
Uchaguzi unasimamiwa na mbunge wa Karatu...
Mkuu licha ya kwamba viwanda havifanyi kazi lakin kinachoendelea sasa hiv ni transition ya economy kutoka kwenye industry kwenda kwenye services na ndio maana utaona Usishangae Moshi kikawa kitovu cha elimu na uchum wake ukaendelea vizur tu
Mkuu nadhan unayoizungunzia hapa siyo Moshi,kwani n nin kipimo cha kukuwa kwa eneo Moshi inakuwa na mtu ambaye alikuwa miaka kumi nyuma na sasa hivi ni tofauti kuanzia kwenye majengo,hotel pamoja na taasisi mbal nbal kama za elimu ambapo kwa sasa kuna zaidi ya vyuo vikuu vishirik zaidi ya 6...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.