Hujitambu wewe.
Heche anasema na anaomba Serikali ipunguze kodi au tozo zilizoko kwenye mafuta.
Kwani bei ya mafuta imejaa tozo au kodi nyingi ambayo kwa serikali inayojali maisha ya watu wake kwa kipindi kama hichi Serikali inachukua maumivu na kupunguza gharama na matumizi sehemu zingine n...
Unaweza kuta Afcon walishatoa mtonyoo. Sema wataaalamu wamekula chao au wamehamisha kwa matumizi mengine wakitegemea kujazilizia pesa za mikopo ya Wazungu. Sasa wazungu wamedinda , hakuna jinsi inabidi tupeleke bakuli Chinaaaa.. Balaaa.. Hakuna Maonooooooooooooooooooooooooooooo ndio...
Ndugu zangu ICC inaendelea kuwawajibisha wale wote wanaoshiriki
mauaji, unyanyasaji na adha zingine za ukiukaji wa haki za binadamu.
-------------------------------------------------
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imemhukumu Ali Muhammad Ali Abd-Al-Rahman (Ali Kushayb) kifungo cha...
Wakuu .
Njia iliyotumika ya kuua watanzania October 29 ni njia waliyotumwa na serikali ya China kupambana na maandamano ya Tiananmen. Katika maandamano hayo takriban watu karibu 10,000 wanasadikika walikuwa lakini serikali ilisema around 200.
------------------------------------------------
The...
Wandugu
Nimewaza na kuona kuwa mfumo wa vyama vingi afrika hasa Tanzania ni mfumo unaotumika kuwaibia wazungu pesa. Janja ya kupata pesa za bure za misaada nk.
Kwa nini nasema hivi nchi nyingi mfano Tanzania ki uwazi hakuna Uchaguzi huru. Watu wanafanya kiiini macho kuwaaminisha wazungu kuna...
Kaka naona unashangilia kwa sababu unakunywa maziwa sio..! Una ka mrija ndio maana unaongea hivyo na kufurahia wakati bodaboda tunapigwa na jua kila kukichaa. Acha dharau kaka..!! Huna ufaamu kaa kimya
Kaka naona unashangilia kwa sababu unakunywa maziwa sio..! Una ka mrija ndio maana unaongea hivyo na kufurahia wakati bodaboda tunapigwa na jua kila kukichaa. Acha dharau kaka..!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.