una kuwa mpole tu mapenzi yenyewe ya siku hizi ni kama umeme wa TANESCO vile muda wowote YANAKATA na atarudi mwenyewe kupiga magot, kitakacho endelea (Tafakari Chukua Hatua)
Kweli mie naamini waweza soma sana ukawa na vyeti vizur lakini ukikosa Hekima na Maarifa unakuwa kama -------- 2 asiyejua afanyalo. So kusoma mpaka elimu ya juu hakusaidii kitu kama utakosa HEKIMA ndio maana hayo yote yanatokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.