Kwa akili yako we unaona Magufuli anaeleza sera za chama chake au anaropoka tu. Aliaidi kabla ajateuliwa kuwa ilani ya chama ndo mwongozo wake ila nadhani hajapatiwa ilani maana chochote kinachomjia kichwani anaropoka tu. LOWASA ULIPO TUPO
Haitatokea mgombea ubunge akafanya mdahalo na mgombea uraisi? Ni wapi na ni nchi gn huwa inafanyika? SITTA aombe mdahalo na mgombea ubunge wa jimboni kwake. Huo ni ushauri wa bure kwake
Mungu yupo Fair siku zote,huwa hana upendeleo. Ajue siku ya kufa kwa mwanadamu ni yeye tu,maana hata yatakayo tokea juu ya maisha yako ndani ya dk 5 zijazo ni yeye. Changia mada usizungumzie uhai wa mtu maana aujui umebakiza dk ngapi hapo ulipo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.