Kigezo cha usomi, umri, background, lugha pekee havitoshi kumtambua rais tumtakaye.
Watanzania tunahitaji mabadiliko ya mfumo mzima Wa uongozi ili kuondoa misingi ya unyonyaji, ubabe, ubaguzi uliowekwa na ccm,
Tunahitaji mfumo mwingine utakao tutoa hapa na kutuvusha katika Dira ya maendeleo...