Recent content by Robidinyo

  1. Robidinyo

    JamiiForums Tanzania Chanuo ataka kurudi kwa mumewe YJ aliyemdhilisha mitandaoni, hii dunia hii

    Lile jamaa ni bwege litakuja kurekodiwa pumbu ziko nje wali black mail
  2. Robidinyo

    JamiiForums Tanzania Dalili ya mvua ni mawingu

    Wabongo siki hizi kila mtu anaongea kwa Code 😀
  3. Robidinyo

    JamiiForums Tanzania Ukiandika mali zako kwa jina la mama yako, hizo ni mali zake. Anaweza kuziuza, akifariki ni mali za urithi za watoto wote

    Wakati wa kuandika lazima kuwe na maandishi yenye makubaliano maalumu
  4. Robidinyo

    JamiiForums Tanzania Matatizo ambayo hata uwape ccm miaka elfu hawatayatatua kamwe!!

    CCM ni Janga
  5. Robidinyo

    JamiiForums Tanzania Mama yangu Samia, naomba mrudishe Jokate kundini, nimeshuhudia mapambano yake chamani

    Vilaza wanaombewa kurudishwa mzigoni
  6. Robidinyo

    JamiiForums Tanzania Arusha: Askari Polisi apigwa kama Mbwa koko

    Askari wa bongo ni waduanzi sana
  7. Robidinyo

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    Una taaluma ya sheria au unabwabwaja tu? Hapo Lissu anawaongoza hawa kwa maswali Magumu na lazima wayajibu
  8. Robidinyo

    JamiiForums Tanzania Paulo Chacha ana akili timamu?

    Digi linapenda misifa ya kijinga sana aibu utaona wewe
  9. Robidinyo

    JamiiForums Tanzania Polisi: Conrad Agonza Kayoza anashikiliwa kwa kumshambulia kwa ngumi na mateke Askari wa Usalama barabarani

    Hii ya kusema kua wananchi walimshambulia, ni hapana mwamba atakua ameshapewa kichapo kikali mno
  10. Robidinyo

    JamiiForums Tanzania Barua ipo wazi kabisa kuwa ni Fake lakini bado watu wanaiamini jamani someni content ndo mtajua kuwa ni tango pori

    Pokea Maumivu kijana ugulia kwa kutoa kachozi kidogo
  11. Robidinyo

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    ..w
  12. Robidinyo

    JamiiForums Tanzania Tetesi: JayRutty kusitisha mkataba na Simba mwisho wa msimu huu

    Hakuna mfanya biashara anaeweza kuacha huu ulaji wa Udhamini wa vifaa vya michezo kwa hizi timubili narudia hakuna
  13. Robidinyo

    JamiiForums Tanzania Napata maumivu makali sana kwenye magego ya upande wa kushuto, msaada wenu tafadhari

    Haya maumivu yaliishaje mkuu? Maana na mimi nimeacha kutumia Whitedent na sasa natumia Colgate ile nyeusi haya nimeanza kupata haya maumivu kwenye magego
  14. Robidinyo

    JamiiForums Tanzania Huenda Bishop Gwajima kafilisika

    Kapunguza kukuonga nini, itakua na wewe umepunguza kumkatikia viuno
  15. Robidinyo

    JamiiForums Tanzania GE2025 All in all, kwa CHADEMA kugoma kushiriki huu uchaguzi, kunawatesa na kuwafedhehesha sana CCM

    Swali la kipumbavu na la kijinga
Back
Top Bottom