Recent content by Robidinyo

  1. Robidinyo

    Napata maumivu makali sana kwenye magego ya upande wa kushuto, msaada wenu tafadhari

    Haya maumivu yaliishaje mkuu? Maana na mimi nimeacha kutumia Whitedent na sasa natumia Colgate ile nyeusi haya nimeanza kupata haya maumivu kwenye magego
  2. Robidinyo

    Huenda Bishop Gwajima kafilisika

    Kapunguza kukuonga nini, itakua na wewe umepunguza kumkatikia viuno
  3. Robidinyo

    GE2025 All in all, kwa CHADEMA kugoma kushiriki huu uchaguzi, kunawatesa na kuwafedhehesha sana CCM

    Tupe hongera kwa sababu safari hii hakuna wanachama wetu watakaokufa wala kubambikiwa kesi na kufungwa bila kosa
  4. Robidinyo

    GE2025 All in all, kwa CHADEMA kugoma kushiriki huu uchaguzi, kunawatesa na kuwafedhehesha sana CCM

    Fedhea wametaka wenyewe kua na kiburi cha kuona wakifanya reforms wataonekana wanyonge kumbe ndo wamejifedhesha wenyewe
  5. Robidinyo

    GE2025 Natabiri CCM Zanzibar kushinda kwa zaidi ya asilimia 90

    Maalim Seif alijichanganya sana kuungana na ACT
  6. Robidinyo

    Nimekubali bora nigharamikie tu lakini kamwe sitakuja kununua malaya

    Aisee futa kauli yako kuhusu WASUKUMA, Kumbe wewe ni mpumbavu kiasi hiki Mada nzuri ila unaleta kejeri za Kibwege
  7. Robidinyo

    Imagine Makamu Mwenyekiti Angekua Wenje na Lissu yupo Gerezani

    Wajumbe na wapiga kura wa Chadema walikitendea sana haki Chama kwa kumchagua Lissu na Heche, Kama angechaguliwa Wenje Kama makamu Mwenyekiti Chama kingekua kinaendeshwa kwa maelekezo ya mstaafu aliyestafishwa kwenye boksi la kura Kuna Move nusu mkate zingefanyika na Chadema wangeingia kwenye...
  8. Robidinyo

    GE2025 Lissu: Nikitoka (gerezani) ni mchakamchaka, nikitoka ni barabarani

    Wao walidhani wanamkomesha atalegea kama Mbowe Hawakujua kua hiki ni chuma
  9. Robidinyo

    Theopista Theonest aibuka mahakamani kesi ya Lissu

    Kastuka kwenda kukazwa na uvccm
  10. Robidinyo

    Theopista Theonest aibuka mahakamani kesi ya Lissu

    Mtatiro Ambae badae alikimbilia CCM na kulamba teuzi? Kama ni huyo basi theo alikua sahii
  11. Robidinyo

    Ina maana hizi barua zote Samia na Serikali yake hawazioni au wanazipuuza

    Mwenyezi Mungu Wabariki Wazungu Waepushe na Majanga Waongoze warudi Tena kutuongoza, maama kuongonzwa na wakoroni weusi ni mateso
  12. Robidinyo

    Tatizo la uume kusimama moja kwa moja

    Ulijuaje mwanaume mwenzako ana kibamia kama haujampa donat ukapima Mpe Tena apoze machingu
Back
Top Bottom