Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 4,069
- 8,758
Wajumbe na wapiga kura wa Chadema walikitendea sana haki Chama kwa kumchagua Lissu na Heche,
Kama angechaguliwa Wenje Kama makamu Mwenyekiti Chama kingekua kinaendeshwa kwa maelekezo ya mstaafu aliyestafishwa kwenye boksi la kura
Kuna Move nusu mkate zingefanyika na Chadema wangeingia kwenye Uchaguzi bila reforms na Mwenyekiti akiwa gerezani
Kongore kwa Heche na Mnyika
Kama angechaguliwa Wenje Kama makamu Mwenyekiti Chama kingekua kinaendeshwa kwa maelekezo ya mstaafu aliyestafishwa kwenye boksi la kura
Kuna Move nusu mkate zingefanyika na Chadema wangeingia kwenye Uchaguzi bila reforms na Mwenyekiti akiwa gerezani
Kongore kwa Heche na Mnyika